Kapteni Tesha alipotelea wapi?

😭😭😭😭
 
Mimi nlishangazwa na watu wanakwambia Colonel Polepole eti wa jeshi la NATO
 
You’re obsessed with witch hunt; however, you don’t realize that the witch is the CCM government itself!
 
Obsessed!? 🤣 🤣..in politics nothing happens accidentally but planned
Who plans to demonstrate when there’s no reason to demonstrate? What the government is currently scrambling to do was demanded by substantially all reasonable stakeholders well before the 2025 General Elections, but the CCM government mazafakas pretended to be smartasses only to learn it the hard way!
 
Toka mwanzo wa andiko lako nilitaka kukumbusha hili; kumbe na wewe unalijuwa.

Sasa unalalamikia kitu gani. Unajuwa alipo Kapteni Tesha wakati huu?
Sijalalamika.

Hujui maana ya kulalamika?
 
Kipindi kile palilua moto,alitengenezwa ili wajue jeshini hali ipoje na kuwaangamiza wote watakosaliti.
 
Mbona Al Jazeera walitoa hiyo taarifa,walisema more than two dozens of policemen died,wakatoa na video maiti ya polisi gen z wakiendelea kuishambulia kwa fimbo
Weka hiyo video hapa tuamini sio kutuandikia maandishi Kila mtu anaweza kuandika
 
The big question is.Is he alive?Cause he really rattled some feathers.
 
Hii story itakuja lini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…