Kapteni Tesha alipotelea wapi?

Siku zote kila kitu huonekana ni rahisi kikiwa kinafanywa na mwingine.

Kama unahisi ni rahisi kufanya alivyofanya Tesha jaribu na wewe.

And then tuangalie kama kweli watanzania ni wajinga kihivyo kurubuniwa na video yako ya dakika 15
Ukipima Risk iliyokuwepo na iliyopo hadi sasa ni rahisi kuamini kuwa TESHA hakuwa amejituma na malengo yake yalikuwa kinyume na alivyokuwa anataka watu waone
 
You are absolutely right.
 
Hakuna popote ambapo Tesha alisema atapindua serikali. Alieleza vile ambavyo haridhishwi na mambo yanavyoenda serikalini, alitoa mapendekezo yake na akatoa onyo kwamba wataowagusa waandamanaji basi siku itakuja watatoa majibu ya matendo yao.

Bila shaka kwa sasa Tesha atakua anaishi uamishoni, na kama ana mkakati wowote basi hawezi kuwa mjinga kujaribu kuutekeleza sasa hivi ambapo vyombo vya dola vipo macho juu. So if he has plan to be back it will take a while
 
Kwa hiyo Kapteni Tesha alikuwa mgonjwa wa akili tu ?
 
Most likely Tesha is dead. Walimkamata akina Mafwele. Jeshi lilimtupa kwa wauaji.

Kuna wakati walikuwa naye Mtwara. Huenda wamemuua.
Captain Tesha alikuwa genuine.

Kuna siku tutajua yote.
 
kifo kwa Mwanaume ni Sunah. Tena Kikiwa cha Kishujaa ni mara elfu zaidi. Kwani wewe Mtawala Utaishi milele?
 
Watu wengi nchi hii wajinga,hata wale wenye shahada za vyuo vikuu,watupu sana kwenye uelewa wa mambo ya kisiasa, utawala, uchumi etc..na ndiyo hao miongoni mwao walitumika 29/10
 
H
Watu wengi nchi hii wajinga,hata wale wenye shahada za vyuo vikuu,watupu sana kwenye uelewa wa mambo ya kisiasa, utawala, uchumi etc..na ndiyo hao miongoni mwao walitumika 29/10
Akina ma
Watu wengi nchi hii wajinga,hata wale wenye shahada za vyuo vikuu,watupu sana kwenye uelewa wa mambo ya kisiasa, utawala, uchumi etc..na ndiyo hao miongoni mwao walitumika 29/10
Akina mange na maria hata wasingefanya walichofanya,yale yangetokea
Mipango ilitoka nyumba za ibada na sijui wamenyimwa nini!?
Yaani kuna waumini watiifu walipewa vijana wawasimamie na kuhakikisha wanatoka,na walipewa mafunzo ya kuhujumu
Ndiyo maana unakuta kinondoni hakuna nyumba yenye msiba lakini watu walikula chuma
Polisi zaidi ya ishirini waliuawa,siyo kwa mawe bali silaha za moto
 
Matukio ya itekaji na mauaji ni mangapi yanayohusishwa na serikali kiasi cha watu kutoka na kuchoma na kuiba!?.. Ile ni agenda ya watu
 
Thibitisha hivyo vifo vya polisi
 
Kapotea alipopotelea kanali Agustino Polepole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…