Kapteni Tesha alipotelea wapi?

Kapteni Tesha alipotelea wapi?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,064
Reaction score
136,421
Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀
 
Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀
Hivi Kinjekitile Ngwale alikuwa ni shujaa kwa kuwaunganisha watu wapigane vita vya Maji Maji, au alikuwa ni mtu aliyewahadaa watu kwa kuwaambia risasi za Mjerumani zitageuka maji, watu wakapigana, wakauawa wengi sana?

Nimemfikiria Kapteni Tesha kusemwa ushujaa wake kwa muktadha wa kuwahamasisha watu wapigane vita kama vya Maji Maji.
 
Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀
Wewe ni mfano wa “Mswahili”
Komoni Mani- common man
 
Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀
Kumuamini Tesha ilikuwa ni ujinga wa kiwango kikubwa sana. Mimi mpaka leo sijakaa nikaziangalia video zake mpaka mwisho maana dakika niliposikia habari zake nilijua tu huyu ametengenezwa.

Kilichonishtua miezi hii michache ni kugundua kuwa kuna watu hawaijui kabisa Tanzania pamoja na kwamba wamezaliwa, wanaishi, wanakula na wanakunya ndani ya Tanzania na wanaapa kuwa wao ni wajanja ila kuna mambo ya msingi yanayoihusu Tanzania ni vipofu kabisa.
 
Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀
Naiangalia MO29 kama culmination ya efforts za watu kama Mange Kimambi, Maria Sarungi, Captain Tesha na wengine wa aina hiyo. Bila mchango wao, naamini MO29 wouldn’t have come to pass!

Tukubali au tusikubali, MO29 was a watershed moment for the country. Yes, we may have lost the MO29 battle, but we surely didn’t lose the war. The MO29 battle permanently changed the trajectory of the ongoing war so much that victory has become a real possibility!
 
Kumuamini Tesha ilikuwa ni ujinga wa kiwango kikubwa sana. Mimi mpaka leo sijakaa nikaziangalia video zake mpaka mwisho maana dakika niliposikia habari zake nilijua tu huyu ametengenezwa.

Kilichonishtua miezi hii michache ni kugundua kuwa kuna watu hawaijui kabisa Tanzania pamoja na kwamba wamezaliwa, wanaishi, wanakula na wanakunya ndani ya Tanzania na wanaapa kuwa wao ni wajanja ila kuna mambo ya msingi yanayoihusu Tanzania ni vipofu kabisa.
Tumuamini Mwigulu Nchemba aliesema kuna mtu amekamatwa na alilipwa bilioni tano kuandaa na kuhamasisha maandano October 29 30 na 31.
Lakini hadi leo hii huyo mtu hajafikishwa mahakamani wala kuhojiwa na inayoitwa tume huru ya kuchunguza vurugua kabla na baada ya uchaguzi.
 
Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀
Mkuu achana na kapteni Tesha,tuendelee kumuamini Mwigulu Nchemba aliesema kuna mtu amekamatwa na alilipwa bilioni tano kuandaa na kuhamasisha maandano October 29 30 na 31.
Lakini hadi leo hii huyo mtu hajafikishwa mahakamani wala kuhojiwa na inayoitwa tume huru ya kuchunguza vurugu zilizotokea kabla na baada ya uchaguzi.
 
Ulitegemea kuwa angeendelea kufanya harakati au kutoa matamko na serikali imwache? HaPA NYANI UMEWAZA KAMA KILAZA SANA. NIKUULIZE. POLEPOLE YUPO WAPI?
MDUDE NYAGALI YUPO WAPI?

KIFUPI TESHA ASINGEENDELEA KUONGELEA JAMBO HILO NA PENGINE ALISHASHUGHULIKIWA.BUT IMPACT YAKE ILIONEKANA SIKU YA MAANDAMANO.

KUNA mambo unatakiwa uwaze kwa akili ya juu. Labda kama ulishakuwa na chuki naye binafsi au unatamani ionekane uliwaza kwa kuona mbali ilhali ni jambo jepesi tu la akili ya darasa la 6 au 7.

Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀


Uli
 
Kumuamini Tesha ilikuwa ni ujinga wa kiwango kikubwa sana. Mimi mpaka leo sijakaa nikaziangalia video zake mpaka mwisho maana dakika niliposikia habari zake nilijua tu huyu ametengenezwa.

Kilichonishtua miezi hii michache ni kugundua kuwa kuna watu hawaijui kabisa Tanzania pamoja na kwamba wamezaliwa, wanaishi, wanakula na wanakunya ndani ya Tanzania na wanaapa kuwa wao ni wajanja ila kuna mambo ya msingi yanayoihusu Tanzania ni vipofu kabisa.
Mkuu hata wewe sidhani unajua undani wa Kapteni Tesha. Hata wewe unadhani kitu ambacho hakipo. Kama unajua historia ya kambi ya jeshi na kikosi alichotoka kapteni Tesha ndiyo utajua ni nini hasa kilitokea. Anyways, nikipata muda nitaandika kwa kirefu ili ujue. Kwa kifupi ni kwamba watu ''wakorofi'' na waliochanganyikiwa jeshini wako wengi kweli. Na kikosi cha Airwing ni kama ''kiwanda'' chao. Vitisho kama alivyotoa Tesha viko kila miaka na Tesha alipata umaarufu tu kwa sababu alitumia social media.
 
Well, well, well……

Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.

Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.

Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.

Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.

Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.

Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.

Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].

Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.

Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?

😀
Tesha alichinjwa kama kuku Mkoani Dodoma..
 
Mkuu achana na kapteni Tesha,tuendelee kumuamini Mwigulu Nchemba aliesema kuna mtu amekamatwa na alilipwa bilioni tano kuandaa na kuhamasisha maandano October 29 30 na 31.
Lakini hadi leo hii huyo mtu hajafikishwa mahakamani wala kuhojiwa na inayoitwa tume huru ya kuchunguza vurugu zilizotokea kabla na baada ya uchaguzi.

Heri nimuamini Tesha kuliko Mwigulu.
 
Back
Top Bottom