Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,064
- 136,421
Well, well, well……
Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.
Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.
Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.
Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.
Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.
Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.
Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.
Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].
Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.
Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?
😀
Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.
Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.
Miezi kadhaa imepita sasa tokea ajitokeze na tokea Watanzania wachinjwe na risasi za Samia lakini huyo Kapteni Tesha hajatoa hata katamko ka kulaani mauaji.
Haikuhitaji mtu uwe mwanachama wa Mensa kujua kuwa huyo Kapteni alikuwa ni magumashi tu.
Huwezi kutoa onyo kwa mtawala yeyote yule kuwa eti asipobadilika basi utampindua halafu ukaendelea na mambo yako kama kawaida.
Mapinduzi huwa hayatangazwi kabla. Yanatangazwa yakishatokea.
Nacheka sana, tena kwa dharau nyingi, kuona kuna watu walidanganyika kirahisi namna ile.
Mambo kama hayo ndo hutenganisha wale wenye akili na busara na wale waongozwao na hisia [wasio na akili].
Hongera Kapteni Tesha [kama bado uko hai] kwa kujipatia umaarufu wa dakika 15.
Ajaye sijui atajiita nani? Luteni Kanali Matondo?
😀