Kaopoa goma ughaibuni anaomba ushaur

Kaopoa goma ughaibuni anaomba ushaur

ndonger

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2018
Posts
898
Reaction score
1,645
Wakuu nna mwanangu mmoja bana sweden.. ana mwaka wa 3 huu sasa jamaa hana mtoto hana mke wala nin bongo.
Anasoma now..
Jamaa ni wale ma blaza meni yan.. bono alikua anamilik watoto wakal kwelkwel..
Sasa yuko ughaibun katokea kupendwa na bint mmoja wa ki swedish.. bint ni single mama.. anampenda vibaya mno jamaa.. na jamaa anasema labda ni kwasababu anaiwakilisha vzur mno nchi.
Ila sasa bint ni wa kawaida saaaana.. yaan hawaendani na mwana.. ila bint ana maisha.. kaz. Usafir nin... Ila ishu iko hapo kwenye kuendana.. na bint yuko tayar kujenga familia na kuzaa watoto na mwana.. ila sasa mwana ni bishoo sana yaan anasema demu hawaendani..

Anaomba ushaur kwa wadau afanyeje..
Na je akiwa na huyo bint.. maana anawasiwas wa kumcheat badae na kufata vichenched vingne..

Anaomba mumshaur tafadhali.
 
Nawausia vijana.....
Msije mkathubutu kuoa/kuolewa na mtu ambae hauna upendo wala hisia naye, eti kwasabbu tu yamali.
Ikitokea umefanya hivyo, utakuja kuishi kwa mateso katika naisha yako yote.
 
Kuna siku alipita jamaa na bibi la kizungu tena kaweka mkono wake kwa yule kibibi kwenye kiuno. Nikasema ama kweli waafrika tumekwisha fanywa sex machine.

Kibibi cha nursing home Afrika kapata kijana mbichi na kijana nae anaona Ulaya ileee🤣🤣🤣.

Narudi kwa mleta mada mwambie chali wako huyo mwajuma mwenye rangi ya kizungu.
Mwajuma anataka hela ya saloon na kula huku kwetu, huko Sweden mwajuma anatafuta wa kumpa mimba na kupata child support.
 
Atafute wanayeendana,asiige ya Hussein Machozi wa Singida.
 
Kuna siku alipita jamaa na bibi la kizungu tena kaweka mkono wake kwa yule kibibi kwenye kiuno. Nikasema ama kweli waafrika tumekwisha fanywa sex machine.

Kibibi cha nursing home Afrika kapata kijana mbichi na kijana nae anaona Ulaya ileee.

Narudi kwa mleta mada mwambie chali wako huyo mwajuma mwenye rangi ya kizungu.
Mwajuma anataka hela ya saloon na kula huku kwetu, huko Sweden mwajuma anatafuta wa kumpa mimba na kupata child support.
nimechekaa had baas.
 
Huyo jamaa yako...."kama ni kweli yupo"pamoja na wewe mwenyewe...Kuna vipimo...mnatakiwa mfanyiwe..🤪🤪
 
Wakuu nna mwanangu mmoja bana sweden.. ana mwaka wa 3 huu sasa jamaa hana mtoto hana mke wala nin bongo.
Anasoma now..
Jamaa ni wale ma blaza meni yan.. bono alikua anamilik watoto wakal kwelkwel..
Sasa yuko ughaibun katokea kupendwa na bint mmoja wa ki swedish.. bint ni single mama.. anampenda vibaya mno jamaa.. na jamaa anasema labda ni kwasababu anaiwakilisha vzur mno nchi.
Ila sasa bint ni wa kawaida saaaana.. yaan hawaendani na mwana.. ila bint ana maisha.. kaz. Usafir nin... Ila ishu iko hapo kwenye kuendana.. na bint yuko tayar kujenga familia na kuzaa watoto na mwana.. ila sasa mwana ni bishoo sana yaan anasema demu hawaendani..

Anaomba ushaur kwa wadau afanyeje..
Na je akiwa na huyo bint.. maana anawasiwas wa kumcheat badae na kufata vichenched vingne..

Anaomba mumshaur tafadhali.

Mwanamke ameshazaa bado unamuita Binti, una hakiri kwel wewe kibwengo
 
"brazaduuu mwenye vichenchede, misele mbele mbele na Duu ana cash tele, mnyamwezi nakula slide za kiujuzi na kitu inatick tu kama star kwenye movie."
 
Wazungu wasivyopenda cheating... Nakuonea huruma unaenda kumpoteza rafiki yako
 
Back
Top Bottom