angelita
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 3,017
- 2,446
Sidhani, kwanini?Huu uzi umeeditiwa ama?
Sidhani, kwanini?Huu uzi umeeditiwa ama?
Ooh nikajua mwanzo ilikua ingilishi tupuSidhani, kwanini?
Kwa nini usingeandika lugha moja unayoielewa vizuri? Huu mchanganyiko unachanganya kiasi kwamba maana inabidi niitafute kwa darubini.Salam a friend need advice..plz
..anasema he married a Woman
whom already have kids and he love
both of them...the kids and their
mum but the problem is these kids
hawana adabu kabisa...kama.kuna
bint ye aja kuchelewa na akimuuliza
usiku huu watoka api mtoto wakike
mama yuwakasirika na mtoto nae
yuwamjibu your not my dad ....you
cant tell me anything I can do
whatever I want na pia wale wadogo
zake pia kama kumetokea mshkil
akijaribu wakanya wanaamtusi cha
ajabu pia mama hawakatazi ...hivi
amekua hana say pale ndani
...nastaki kupeana talaka je
nifanyaje?
NA MAMA YAO NDO YUKO HIVYO LOLSalam a friend need advice..plz
..anasema he married a Woman
whom already have kids and he love
both of them...the kids and their
mum but the problem is these kids
hawana adabu kabisa...kama.kuna
bint ye aja kuchelewa na akimuuliza
usiku huu watoka api mtoto wakike
mama yuwakasirika na mtoto nae
yuwamjibu your not my dad ....you
cant tell me anything I can do
whatever I want na pia wale wadogo
zake pia kama kumetokea mshkil
akijaribu wakanya wanaamtusi cha
ajabu pia mama hawakatazi ...hivi
amekua hana say pale ndani
...nastaki kupeana talaka je
nifanyaje?
Hamna ni kiswanglish hivyo hivyo.Ooh nikajua mwanzo ilikua ingilishi tupu
hao wadada wa dar nao sasa ni jipu! kama wanadatishwa na kingereza hicho jamanidiva si ndiyo wanatumia wanaume wa Dar kuwachanganya maneno mawil the kibao
teh teh teh teh teh!!!!unahitaji upigwe msasa wa tenses(present, past and future)
well understanding...! karibu Mombasamtoa mada ni MKENYA, nimeishi kwao na nawajua vizuri, limbukeni wa lugha za watu hupenda kuongea lugha za mataifa mengine hasa kiswahili na kingereza huku lugha yao wanaificha hata wakiwa nchini kwao mbaya zaidi uwaambie unatokea Tanzania hapo kila wakikuona wanavojitia wajuvi wa kiswahili kumbe anaongea KISWAKIKENYA sasa apo kwenye #yuwaja ipo lugha ipi? KENYA mbadilike mpende lugha yenu,.
Hahahahahaha....aisee.msaada upi unajidai kuandika kwa kingereza utazani wana jf wote umewasomesha wewe?
Makosa kibao Harafu unasema lugha inaeleweka,natena unajiita mwalimu,labda walimu uchwara,a friend need advice=a friend needs Advice,a woman whom=a woman who,He love both of them=he loves both of themMjomba lugha mbona nyeupe sana au schools ulzopita ni tia maji tia maji
Haha elimu si bure?msaada upi unajidai kuandika kwa kingereza utazani wana jf wote umewasomesha wewe?
Hamjangundua mtoa mada mkenya ata ivo amejitahidi kueleza kwa kiswahili mpongezenihii lugha waachie wenyewe mkuu duu ndiyo maana magu ni mkuu wa nchi na ana PhD ila lugha inasumbua ungeandika tuu kwa lugha ya mama au ndiyo bit kungolea madem jf maana wanaume nyinyi wa Dar ndiyo gear zenu