Kwanza pole sana, Pili weka kikao wewe na huyo mke wako na watoto wake, umwambie kama hata wakanya watoto wake wakawa na adabu juu yako, na kufata sharia za nyumbani kwako wahame waende kwa baba yao, kama hawana baba mwambie mkeo kama anashindwa kuwafunza adabu ajipange kuondoka nyumbani kwako, ONGEA KIUME, Unadhani watoto utakaozaa na huyo mama wataiga tabia gani?? kwanza ujue ushakosea kuoa huyo mwanamke, mana mama gani anashindwa na malezi watoto wanaharibika kwenye mikono yake na haongei kitu, huyo hufai hata kuzaa nae labda ujiandae na familia ya ovyoooo kabsaa, kiufupi muache tu kama atashindwa kujirekebisha ni aibu, utajipa stress ufe bure, nyumbani ndio sehem ya furaha kila siku unakuta karaha, aaaaaghhh.