Kanusha kwamba CCM si wezi

Kanusha kwamba CCM si wezi

Hivi mbona karibu kwenye kila scandal Anduru Chenga anahusika?
 
kukanusha kua ccm co wez ni sawa na kujaribu kukanusha kua tembo sio mnyama mkubwa kupita wote wa nchi kavu
 
Kwa sakata hili la Escrow, Epa, Richmond na mengine mengi. Nani anaweza kujitokeza, tena kifua mbele na kukanusha kuwa CCM si genge la wezi?

Kama kuna mtu anatafuta laana ya Mungu athubutu kukanusha hili , kwanza ataanzia wapi ?
 
CCM ingejenga mahospitali c rais na viongozi wengine wangetibiwa nchini? Acha kuwa ----- wewe. Wanajua kabisa mazingira ya muhimbili ni balaa.
 
CCM sio wezi hata kidogo, wanachukua return ya investment zao. Kwa sababu wakati wa uchaguzi waliwanunulie T-Shits, Vitenge, Kanga pamoja na vitakrima vidogodogo; na mkawachagua. Sasa c ndo wanachukua faida yao ili wajipango na uchaguzi ujao?
MI NAONA TUNAZINGUA TU, WANAJADILI NINI WAKATI REPORT ZIKO WAZI, UTASIKIA MUHESHIMIWA FLANI KAJIUZULU....., HAPO INATAKIWA WAKAMATWE WOTE WALIOHUSIKA WATIWE KITANZI HADHARANI WAKIWA UCHI
 
inabidi ujitoe ufahamu,yaani uwe chizi kabisa kukanusha maccm sio majizi.
 
CCM sio wezi hata kidogo, wanachukua return ya investment zao. Kwa sababu wakati wa uchaguzi waliwanunulie T-Shits, Vitenge, Kanga pamoja na vitakrima vidogodogo; na mkawachagua. Sasa c ndo wanachukua faida yao ili wajipango na uchaguzi ujao?
MI NAONA TUNAZINGUA TU, WANAJADILI NINI WAKATI REPORT ZIKO WAZI, UTASIKIA MUHESHIMIWA FLANI KAJIUZULU....., HAPO INATAKIWA WAKAMATWE WOTE WALIOHUSIKA WATIWE KITANZI HADHARANI WAKIWA UCHI

Ilikuja Richmond lowasa akijiuzulu na sasa anataka kugombea urais kwani hakuwa mwizi? Chenge pia alikuwa na kashfa apewe kazi ya katiba kwani sio mwizi? Kikwete na habari ya riz1 China kwani sio fisadi? Sasa ccm inasonga walewale wezi mafisadi still wataongoza hii nchi hata wewe kama unapesa zako Ingia kwenye saisa tangaza sera zako gawa misaada utaona kama hutapata hawa hawa wajinga watanzania ambao wanasahau yote kwa ajili ya njaa hii nchi ni kama Somalia hakuna uhuru nchi ipewe jeshi tujipange hata hao kina slaa wezi hakuna kiongozi tanzania sio mwizi woote wezi. Mungu bariki tanzania. Ameen
 
Ilikuja Richmond lowasa akijiuzulu na sasa anataka kugombea urais kwani hakuwa mwizi? Chenge pia alikuwa na kashfa apewe kazi ya katiba kwani sio mwizi? Kikwete na habari ya riz1 China kwani sio fisadi? Sasa ccm inasonga walewale wezi mafisadi still wataongoza hii nchi hata wewe kama unapesa zako Ingia kwenye saisa tangaza sera zako gawa misaada utaona kama hutapata hawa hawa wajinga watanzania ambao wanasahau yote kwa ajili ya njaa hii nchi ni kama Somalia hakuna uhuru nchi ipewe jeshi tujipange hata hao kina slaa wezi hakuna kiongozi tanzania sio mwizi woote wezi. Mungu bariki tanzania. Ameen

Subiri lumumba wa je mi napita tùu
 
Magufuli alikamata samaki tukapewa wananchi tule, sasa hela kama hizi hawa wajomba wakizitema zinapelekwa wapi? Hivi hata zile za EPA zilipelekwa wapi?
 
Last edited by a moderator:
Haya kama mna ushahidi nendeni kwenye vyombo vya dola, usiongee kitu kama una data za kufikirika utaonekana mgonjwa wa akili na siku zote fikiri kwa kutumia ubongo na si makalio
 
Back
Top Bottom