kanuni ya kujiajiri ni kutumia fursa ya matatizo ya watu na GAP ya ufahamu wako na wengine!

Elezea kidogo basi bwana

Fursa za kujiajiri zinatokana na gap la ufahamu/ujuzi kati yako na watu wengine katika jamii/taifa. Pia kila mtu kwa wakati fulani anakuwa na magumu anayopitia; yanahitaji ufumbuzi; na mengi ya mambo hayo hutatuliwa na watu wenye ufahamu/ujuzi huo!! mfano mimi ni consultant katika masuala ya maendeleo, miradi na resource mobilisation! Naamini wapo watu wenye shida fulani ambayo katika haya niyafanyayo ufumbuzi wake utatokea. Na pia ni vema watu wakajua tunategemeana kwa namna moja au nyingine. Hata kama ni msomi vipi bado nitahitaji ufumbuzi wa masuala yangu kwa watu/kampuni fulani. Cha msingi mtu binafsi lazima ujue strenght yako ni ipi!! Kila kazi duniani ni product ya haya ninayo sema!! Watanzania wasipende kutatuliwa matatizo yao bure, hata kama ni ushauri hasa wa kitaalamu!!! tukifanya hivyo vijana wengi wasomi watajiajiri. Naona wenye elimu ndogo au wastani ndo wanaweza sana hii kanuni; kuna carpenters, car wash etc, ili sisi wenye magari tupate ufumbuzi wa magari yetu kuwa safi kutoka kwao. Kama hutaki kuwalipa osha mwenyewe, ila hutafanya kwa ustadi, na wale vijana watabaki hawana kazi!!
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Fursa za kujiajiri zinatokana na gap la ufahamu/ujuzi kati yako na watu wengine katika jamii/taifa. Pia kila mtu kwa wakati fulani anakuwa na magumu anayopitia; yanahitaji ufumbuzi; na mengi ya mambo hayo hutatuliwa na watu wenye ufahamu/ujuzi huo!! mfano mimi ni consultant katika masuala ya maendeleo, miradi na resource mobilisation! Naamini wapo watu wenye shida fulani ambayo katika haya niyafanyayo ufumbuzi wake utatokea. Na pia ni vema watu wakajua tunategemeana kwa namna moja au nyingine. Hata kama ni msomi vipi bado nitahitaji ufumbuzi wa masuala yangu kwa watu/kampuni fulani. Cha msingi mtu binafsi lazima ujue strenght yako ni ipi!! Kila kazi duniani ni product ya haya ninayo sema!! Watanzania wasipende kutatuliwa matatizo yao bure, hata kama ni ushauri hasa wa kitaalamu!!! tukifanya hivyo vijana wengi wasomi watajiajiri. Naona wenye elimu ndogo au wastani ndo wanaweza sana hii kanuni; kuna carpenters, car wash etc, ili sisi wenye magari tupate ufumbuzi wa magari yetu kuwa safi kutoka kwao. Kama hutaki kuwalipa osha mwenyewe, ila hutafanya kwa ustadi, na wale vijana watabaki hawana kazi!!


naona umetoa mawazo mazuri sana. kwa kweli ni muda muafaka vijana tutumie akili zetu kujiajiri ingawa kujiaajiri ni jambo zito na watu wanaliogopa sana. inabidi tuwe na ujasiri wa kuthubutu
 
Ndugu hapa ni mahali pa mhimu sana............ "lazima ujue strenght yako ni ipi!!" nakubaliana na hilo kabisa kwani bila kujua kilo hakuna mwelekeo kabisa , hebu tujuze kidogo ni wapi pa kuanzia kujua strength ?
 
Ndugu hapa ni mahali pa mhimu sana............ "lazima ujue strenght yako ni ipi!!" nakubaliana na hilo kabisa kwani bila kujua kilo hakuna mwelekeo kabisa , hebu tujuze kidogo ni wapi pa kuanzia kujua strength ?
Strength ni kitu chochote unachoweza kukifanya katika perfomance ya juu iwe ni ujuzi,kipaji au kazi ukilingalinisha na wengine katika kitu hicho hicho..mara nyingi utaijua strength yako kwa kulinganisha na maeneo mengine unayoweza kufanya.
 
naona umetoa mawazo mazuri sana. kwa kweli ni muda muafaka vijana tutumie akili zetu kujiajiri ingawa kujiaajiri ni jambo zito na watu wanaliogopa sana. inabidi tuwe na ujasiri wa kuthubutu

You are right Kigi, take a move, will meet on the way!
 
Strength ni kitu chochote unachoweza kukifanya katika perfomance ya juu iwe ni ujuzi,kipaji au kazi ukilingalinisha na wengine katika kitu hicho hicho..mara nyingi utaijua strength yako kwa kulinganisha na maeneo mengine unayoweza kufanya.

He is right!! utafanya mengi maishani lakini kuna jambo au mambo fulani lazima utajikuta unaperform vizuri sana tena ukiwa na interest kubwa on it. Hivyo pale unapo perform vizuri ndipo pa kukazia sana!!!! tafuta kila uwezekano kupaundia utaratibu wa kudesign activities!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom