Kanuni mpya za fedha: Dr Mpango

Kanuni mpya za fedha: Dr Mpango

Huo kwingine nilifunga $ acc yangu miaka 2 imepita sasa. Ni TIB. Walikuwa hawakati kipindi hicho. Kwa sasa sijui. Unajua tena - mabenki yamekosa njia ya kuingiza pesa. Njia iliyobaki ni makato tu. Hata kuangali salio kwa ATM eti wanakata pesa! Wakati ATM zinawasaidia wao kazi.

Bongo nyoso, bank njaa sana...
Mpaka saivi siwaelewagi wakuruhusu ufungue USD acc halafu wakukate tena 1% ukiwa unatoa pesa yako halali. Dawa ni kujificha kwenye miamala ya kielectronic tu.
 
Hawakurupuki, wao wanaogopa pesa ya mabeberu isiingie nchini kinyamela. Nchi zinazopata misuko suko huwa kuna donor somewhere anaingiza nguvu ya pesa, wao hapo wamebana. Vyama vya siasa wamepewa mashart magumu kuliko yenu, wao kiasi chochote wanachopewa wanahitaji kuriport serikalini, na balozi zote zimepewa masharti ya jinsi na namna ya kusaidia vyama vya siasa na NGOs, lengo lao ni kuhakikisha hakuna anayepata pesa nje serikali isifahamu, huo ndio udhibiti walioweka. Ubalozi au shirika lolote la nje likitaka kukisaidia chama cha siasa kwanza serikali inapewa taarifa za kiasi na malengo ya msaada, na ndio maana uliona ulifanyika uhakiki wa NGOs zote na kuweka masharti ya kutoa taarifa za mipango kazi yao mara kwa mara serikalini.
Walengwa siyo nyie wananchi wakawaida, nyie mmekumbwa na mtego wa panya. Kulinda madaraka siyo kazi rahisi, lazima yatengenezwe mazingira magumu kwa kila mtu ili ionekane ni kawaida, na siku wakibinywa waseme hii siyo kwao tu bali ni nchi nzima.
Hivyo msimlaumu Dr. Mpango, yeye ni mtekelezaji wa mipango iliyo kwisha ratibiwa serikalini. hata akifahamu hasara ya sera Fulani leo, hawezi kubadirisha kama imeamriwa hivyo. Nyie mnadhani Bashe anaakili sana kuliko Dr.mpango, ni kwasababu mpango hutekeleza mipoango iliyopo hatengenezi sera yeye.
Nimekuelewa sana mkuu.

Na imekuja muda muafaka maana 2020 uchaguzi sio mbali.
 
Wamekosa ubunifu. Akili yao imegota. Halafu wakati unafungua account hawakuelezi habari ya makato. Yanakuja baadae wakati account imekwisha funguliwa! Ni kama haturuhusiwi kutoa pesa kwenye account!
Bongo nyoso, bank njaa sana...
Mpaka saivi siwaelewagi wakuruhusu ufungue USD acc halafu wakukate tena 1% ukiwa unatoa pesa yako halali. Dawa ni kujificha kwenye miamala ya kielectronic tu.
 
The failure state inatapatapa!Hizo ndiyo njia za kufikia uchumi wa kati?
 
Angalia sera zote in totality. Walianza na vyama vya siasa, media. Slowly wakaingia kwenye watu bianfsi. 2015 ilikuwa bora kuliko 2019. Hivyo hivyo 2019 itakuwa bora kuliko 2025. If you do not see this, your brain is blind. Sera zote za sasa ni za ku-control watu. Kujua mtu anakwenda chooni saa ngapi, anakula nini, anaandika nini kwenye mitandao, anapataje hela, nk. Hata kama mtu anapata pesa kihali, bring them down ili wote waishi kama mashetani. This is typical socialist. Socialist failed. We have been there before. Hakuna haja ya kurudi huko. Ni kuwapotezea Watanzania muda wa maendeleo.

Mkuu, binafsi sioni ubaya serikali kupitia banks kuwa na macho ya ziada kuhusu money laundering. Hakuna mwananchi atakaye athirika, biashara na miamala itaendelea kama kawaida, kwa nini tuwe na hofu? Kwa nini tunaogopa sheria zinazolinda hela chafu dhidi ya uchumi wetu.

BTW, vilevile na support vyama vya siasa kutangaza misaada yote wanayopata kutoka nje ya nchi. Kwa nini ufiche kama haina nia mbaya? CCM ikipewa pesa kutoka China na vivyo hivyo kwa CDM au ACT? Mbona hata USA wameweka hii sheria , kwao inaonekana sawa kwa nini kwetu ionekane ukatili?
 
Wamekosa ubunifu. Akili yao imegota. Halafu wakati unafungua account hawakuelezi habari ya makato. Yanakuja baadae wakati account imekwisha funguliwa! Ni kama haturuhusiwi kutoa pesa kwenye account!

Exactly....
Kama vile hawataki tutoe pesa, ukiritimba ndani ya karne ya 21. Teknolojia inakua ni suala la muda tu bank za bongo zitatolewa kwenye ramani, ndio maana hata cashless economy tz inaongozwa na mobile money na sio walafi wa banks.
 
Mi nimekuelewa
Mpango: "mtu anayefanya muamala wa fedha zenye thamani ya Dola za Marekani 10,000 au zaidi, kutoa taarifa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (FIU)"

Me on Monday: 'Muamala wa $ 7800"

Me on Tuesday: 'Muamala wa $ 9500"

hapo nani mjanja?
😉😉😉😉
 
Hadi vidola 1000 navyo mnavimaindi, hivi hii.mentality ya kimasikimasikini nani aliwapandikizia hawa watu?

Huwezi kubanabana flow ya pesa hata hizi ndogo ndogo kisha ukadhani unasaidia flow ya mitaji na business kwa watu wa kipato kidogo na cha kati

Wapi dola 10,000 inahusika? Wapi dola 1000 inahusika? Hii kitu ya dola 1000 sidhani kama imekaa sawa
 
Hadi vidola 1000 navyo mnavimaindi, hivi hii.mentality ya kimasikimasikini nani aliwapandikizia hawa watu?

Huwezi kubanabana flow ya pesa hata hizi ndogo ndogo kisha ukadhani unasaidia flow ya mitaji na business kwa watu wa kipato kidogo na cha kati
Yaani ukimtumia mwanao sh.2,500,000 utoe taarifa kabla ya kufanya hivyo. Mbona hutwo ni tuhela twa mboga tu!
 
Unaweza kuwabinya sana watu lakini huwa kuna threshold kufikiwa. Hiyo threshold siku ikifika, watalipuka tu. Threshold ya Sudan ilifikiwa mwaka huu. Na ya Tanzania ina siku yake....
Hizi ni preventive measures kwao, na ni shield yao ya kutokufika huko wanaamini, yani kila kunapowaka sehemu wao hukaza ili waendelee kuwepo hapo walipo kwa pesa zenu.
 
Uchumi chini ya nahodha Dr Mpango auwezi imarika kamwe the guy just doesnt have any tricks under his sleeves.

Kila siku anatafuta namna ya kuongeza ugumu kwenye mzunguko jamaa ni shida.

Ukisikiliza clip ya Bashe unaona sehemu ambayo anaelezea tatizo lililojitokeza kwenye kubadili hela wamefuta, ni watu wanaopenda kujifariji ata wanapokosea, wamejaza wanasiasa wenye shida ndani ya chama kwa sababu ya kuwasifia ata waapofanya mambo ya ovyo halafu wanachukua muda kufanya corrective actions mpaka athari zinapokuwa kubwa.

Hili sasa lingine ambalo madhara yake linaenda ongeza shida kwenye mzunguko, seriously huyu jamaa amekuwa akishauri maraisi hadi kufikia kupewa uwaziri wa kuteuliwa mbona mtu mwenyewe sio mmbunifu kabisa.

Halafu sasa katika speech yake baada ya majigambo yote deni la taifa linahimilika mwisho wa siku anasema wazi kabisa serikari inafikiria kuomba kusamehewa madeni yake kupitia wale wasio Paris Club, the opposite of that is the London Club (in other words mabenki makubwa ya kimataifa wanaoidai nchi).

Someone needs to tell him madeni yaliyofutwa miaka ya 80 ni kwa sababu kulikuwa hakuna namna nchi maskini kwa ujumla wake zilikuwa zina accumulated debt ya zaidi ya $500-800b na kuendelea kuwalazimisha walipe ilikuwa ni kuwaumiza wananchi wakose huduma ndio sababu ya kufuta hila sharti la kuendelea kuwasaidia ilikuwa wabadili tabia za kisera.

Watu kama akina Nyerere ambao walikuwa awataki ushauri wa kubadili tabia pamoja na kuwa wanashida ndio sababu za kunyimwa mikopo wale jeuri yao mwishowe tunajua yeye mwenyewe alikubali yaishe kwa kun'gatuka.

Since then wakopaji washajifunza awatoi kama uwezi kulipa, kama ulipewa kwa tathmini na wana kufanyia assessment periodically utalipa tu; tena afadhali ata hao Paris Club maana ni mataifa pamoja na kuwa wana masharti magumu zaidi ya mikopo lakini ni mataifa ambayo yanaweza samehe hao wengine huruma yao ni kukufanyia restructuring lakini kusamehe nadra sana ni hela za wateja wa bank hizo au shareholders.
Ndio maana private sector has been crippled. Naona kama nia sio kuboresha, ila kufanya mambo yasiwezekane kabisa.
Dola 1000 ni karibu 2.5mil. Kutuma 2.5 mil nayo ni shida?
 
Hali ya mifuko ni mbaya hivyo mpaka ela yakununua harrier turipoti kwenye kitengo cha usalama wa kifedha....tucheke tu...tukilia haisaidii
 
That is a fact...na nimelink pia kwa kuwa tunaelekea kwenye uchaguzi....20/20
Walianza na wenye nazo na kuwatoa kwenye reli kwa sababu zao, kina Rugemalila, sinfasinga, manji, kina Peter Zakaria hadi masheikh wa uamsho, viongozi wa dini, kakobe, na Juzi mliona Gwajima kaitwa tena.
Hata mambo hayafanyiki kwa kubahatisha. Ni political stratergy.
 
Since then wakopaji washajifunza awatoi kama uwezi kulipa, kama ulipewa kwa tathmini na wana kufanyia assessment periodically utalipa tu; tena afadhali ata hao Paris Club maana ni mataifa pamoja na kuwa wana masharti magumu zaidi ya mikopo lakini ni mataifa ambayo yanaweza samehe hao wengine huruma yao ni kukufanyia restructuring lakini kusamehe nadra sana ni hela za wateja wa bank hizo au shareholders.

Hawa watu wanasikitisha sana, au labda wanajitoa akili.

Wakati Mpango anatafuta msamaha wa madeni, wenzake wanakataa misaada ambayo si mikopo. Misaada hii ipo backed na UN convention kusaidia nchi maskini.

Tanzania ni nchi miongoni mwa least developed country na ina fursa ya kupata misaada (si mikopo) ili mradi tu iwe na diplomasia nzuri na shared values na donors (mostly Western countries).

Lakini leo ukimsikiliza Waziri Kabudi na Rais Magufuli ni wazi hii misaada watapewa wengine. Waziri anatoa kauli za "mabeberu" huku Rais akisema bora China hawana masharti kuliko West. Kweli?

Waziri Mpango inabidi akimbilie kukopa kwa hao hao "mabeberu" kwenye commercial na investment banks. Kama Greece hakusamehewa madeni sisi watakuja kuchukua mbuga za wanyama. Hakuna shareholder/investor atakubali pesa ipotee kwa watu maskini na viburi.
 
Hawa watu wanasikitisha sana, au labda wanajitoa akili.

Wakati Mpango anatafuta msamaha wa madeni, wenzake wanakataa misaada ambayo si mikopo. Misaada hii ipo backed na UN convention kusaidia nchi maskini.

Tanzania ni nchi miongoni mwa least developed country na ina fursa ya kupata misaada (si mikopo) ili mradi tu iwe na diplomasia nzuri na shared values na donors (mostly Western countries).

Lakini leo ukimsikiliza Waziri Kabudi na Rais Magufuli ni wazi hii misaada watapewa wengine. Waziri anatoa kauli za "mabeberu" huku Rais akisema bora China hawana masharti kuliko West. Kweli?

Waziri Mpango inabidi akimbilie kukopa kwa hao hao "mabeberu" kwenye commercial na investment banks. Kama Greece hakusamehewa madeni sisi watakuja kuchukua mbuga za wanyama. Hakuna shareholder/investor atakubali pesa ipotee kwa watu maskini na viburi.
Kujitoa akili ndio tafsiri sahihi yanapokuja maswala ya uchumi, si ajabu wazungu washawazoea hayo maneno yao ni siasa tu za majukwaani wakimaliza wanarudi nyuma kuomba mikopo/misaada.

Dr Mpango mwenyewe kuna vitu huwa anaongea lakini udhani kama anaviamini mfano re-base waliofanya inaonyesha sector ya habari ndio inakuwa kwa kasi labda kama wanazungumzia channel za you tube wanazosajili huko TCRA lakini hili halina ukweli wowote in relation to economic growth.

Wakipeleka habari kama hizo IMF wanarudishwa kwenye dunia ya ukweli ukuaji wako ni 4% tu hizo indicators zako zingine azieleweki na uwezo wako wakukopesheka ni kupitia taasisi zetu huna uchumi wa kuuza bond kwenye international market.

Hizo benki zinazaoikopesha serikari ni kupitia WB na IMF ndio wanao facilitate kilatu na upande wa mabenki wanachofanya wao ni kupeleka proposals tu kwenye hizo taasisi madeni yao yalipwe kupitia kwa utaratibu fulani nchi inapokwama lakini private institutions hazina historia nzuri ya kusamehe madeni; hawa ndio watu waliokuja na Brady Bonds kuakikisha hela yao aipotei kirahisi rahisi nchi ata ikiwa inapitia wakati mgumu wa kiuchumi.
 
Blablabla ndio hizi

Money Laundering ni kuharibu ushahidi wa pesa iliopatikana katika njia zisizo halali sasa mnataka kutuambia watanzania wengi wetu tuna pesa haramu au?

Kama sio wivu wa waliokosa na chuki kwa wenye nacho na usumbufu?
Tushapitisha Sasa wewe fanya Kwa jinsi ujuavyo
 
Uchumi chini ya nahodha Dr Mpango auwezi imarika kamwe the guy just doesnt have any tricks under his sleeves.

Kila siku anatafuta namna ya kuongeza ugumu kwenye mzunguko jamaa ni shida.

Ukisikiliza clip ya Bashe unaona sehemu ambayo anaelezea tatizo lililojitokeza kwenye kubadili hela wamefuta, ni watu wanaopenda kujifariji ata wanapokosea, wamejaza wanasiasa wenye shida ndani ya chama kwa sababu ya kuwasifia ata waapofanya mambo ya ovyo halafu wanachukua muda kufanya corrective actions mpaka athari zinapokuwa kubwa.

Hili sasa lingine ambalo madhara yake linaenda ongeza shida kwenye mzunguko, seriously huyu jamaa amekuwa akishauri maraisi hadi kufikia kupewa uwaziri wa kuteuliwa mbona mtu mwenyewe sio mmbunifu kabisa.

Halafu sasa katika speech yake baada ya majigambo yote deni la taifa linahimilika mwisho wa siku anasema wazi kabisa serikari inafikiria kuomba kusamehewa madeni yake kupitia wale wasio Paris Club, the opposite of that is the London Club (in other words mabenki makubwa ya kimataifa wanaoidai nchi).

Someone needs to tell him madeni yaliyofutwa miaka ya 80 ni kwa sababu kulikuwa hakuna namna nchi maskini kwa ujumla wake zilikuwa zina accumulated debt ya zaidi ya $500-800b na kuendelea kuwalazimisha walipe ilikuwa ni kuwaumiza wananchi wakose huduma ndio sababu ya kufuta hila sharti la kuendelea kuwasaidia ilikuwa wabadili tabia za kisera.

Watu kama akina Nyerere ambao walikuwa awataki ushauri wa kubadili tabia pamoja na kuwa wanashida ndio sababu za kunyimwa mikopo wale jeuri yao mwishowe tunajua yeye mwenyewe alikubali yaishe kwa kun'gatuka.

Since then wakopaji washajifunza awatoi kama uwezi kulipa, kama ulipewa kwa tathmini na wana kufanyia assessment periodically utalipa tu; tena afadhali ata hao Paris Club maana ni mataifa pamoja na kuwa wana masharti magumu zaidi ya mikopo lakini ni mataifa ambayo yanaweza samehe hao wengine huruma yao ni kukufanyia restructuring lakini kusamehe nadra sana ni hela za wateja wa bank hizo au shareholders.
Umeongea point sana mkuu... Mpango hawez kuimarisha uchumi wa nchi hii maama hajui chanzo cha tatizo
 
Back
Top Bottom