Siasa inaingiaje hapa wakati hii ni habari ya kiuchumi? Hizi ni sera za nchi zilizo duni kama Korea ya Kasikazini, Ethiopia, Cuba, nk. Siyo sera za nchi zilizopiga hatua za kiuchumi. Hata hapa TZ tunajua hivyo. Nyerere alijaribu kupita njia hiyo na sisi tuliokuwepo wakati huo, tunajua nini kilitokea. Mwinyi, Mkapa na Kikwete wakaja wakarekebisha. Sera za kijamaa haziwezi kuleta maendeleo popote duniani. Hawa wanaturuisha nyuma sana. Kurekebisha tena baada ya hawa jamaa kutoka itakuwa kazi ngumu sana.