Kanuni mpya za fedha: Dr Mpango

CCM mbele kwa mbele tutanyooka
Hivi siku hizi madokta wanapatikanaje kwani?
Hadi vidola 1000 navyo mnavimaindi, hivi hii.mentality ya kimasikimasikini nani aliwapandikizia hawa watu?

Huwezi kubanabana flow ya pesa hata hizi ndogo ndogo kisha ukadhani unasaidia flow ya mitaji na business kwa watu wa kipato kidogo na cha kati
 
Nchi hii ni masikini ya kutupwa,sijui hawa jamaa wakikaa kwenye hayo ma V8, na milolongo ya ving'ora huwa wanadhani hii nchi ina neema kama walizonazo wao?.

Wanaleta siasa za enzi za Nyerere mtu ukitaka dola ukaombe Benki kuu kwa maelezo kibao, Ukitaka kusafiri nje ukaombe kibali cha Ikulu, Yaani hawa jamaa wanaturudisha enzi za uchumi uliofeli wa Julius Nyerere.

Hawa jamaa watasababisha umasikini uliokithiri wa wananchi
 
These people are communists, hawa jamaa ni wakomunisti, na wakomunisti hupenda sana mambo ya control, kwao hii huwahakikishia kuthibiti madaraka lakini at the exponse ya maisha ya kimasikini ya watu huku wao watawala wakiishi katika neema.

Chini ya dr Mpango na serikali hii kiukweli tunapiga U-turn kwa kasi kubwa kurudi katika maisha ya kinyongenyonge ya kuvaa midabwada ambayo tulishaacha.

Hii serikali ya Kikomunisti iambiwe kuwa sera zake za uchumi ni Muflisi itatupa umasikini wa kutisha kwa sera zake za kupenda kuthibitithibiti.

Uchumi siyo siasa, Siasa unaweza kuthibitithibiti na kutokana na watu kuwa busy kutafuta ugali wa watoto wao wakakuacha tu, Lakini ukijifanya kuthibiti thibiti natural flow ya uchumi unavuruga juhudi za watu kupata ugali!. Ikifikia watu wanakosa ugali wao kwa sababu ya sera mbovu hakuna magari ya washawasha yatawarudisha nyuma, hawa jamaa hawajifunzi huko Sudan na nchi nyingine?
 
Kanuni ya 11 inasema miamala miwili au zaidi ikifanywa ndani ya saa 24 na kufikia dola 10,000 za Marekani au zaidi, itachukuliwa kuwa ni muamala mmoja na hivyo itatakiwa kutolewa taarifa.

 
Ukipata Dhahabu kwa mkupuo moja itakuweje ukitaka kuuza, hizo sheria za nchi za magharibi tuziangalie vizuri zinatuhabia uchumi, pia usumbufu mkubwa
 
Kwa waliowahi kufika Ethiopia watakubaliana nami kuwa tunaelekea Ethiopia sasa. Kama walivyo Waethiopia, tutaanza kuikimbia nchi yetu katika hii miaka 10 ya hawa watu.
Hadi vidola 1000 navyo mnavimaindi, hivi hii.mentality ya kimasikimasikini nani aliwapandikizia hawa watu?

Huwezi kubanabana flow ya pesa hata hizi ndogo ndogo kisha ukadhani unasaidia flow ya mitaji na business kwa watu wa kipato kidogo na cha kati
 
Maskini wa Kigoma anapokuwa waziri wa fedha....tutaishia kufa malofa.

Hizi ni sheria za Kistalinstalin.
Sioni ni kwa namna gani nchi yenye viongozi wenye mentality za kutaka kuvuna tu kutoka kwa wananchi bila kuinvest kwao.
Kuthibiti bila kutoa nafasi
Sioni serikali ya aina hii ikiwavusha watu wake zaidi ya kuendelea kuthibiti power isiwaponyoke kwa nguvu zao zote

Hizi kanuni zitaendelea kudidimiza biashara, they are not business friendly at all
 
Kusema ukweli hata $10,000 ni ndogo kwa wafanyabiashara hata wa level ya kati.
 
Madikteta wanapenda sana ku-control watu. Step kwa step wanafanya hivyo... Slowly but surely... Baada ya miaka 10, sijui Tanzania itakuwaje.
 
That is a fact...na nimelink pia kwa kuwa tunaelekea kwenye uchaguzi....20/20
 
Unaweza kuwabinya sana watu lakini huwa kuna threshold kufikiwa. Hiyo threshold siku ikifika, watalipuka tu. Threshold ya Sudan ilifikiwa mwaka huu. Na ya Tanzania ina siku yake....
 
Ni kweli kabisa. Nchi zote zinazofuata sera za aina hii zimejikuta katika umasikini mkubwa - Korea ya Kaskazini, Ethiopia, nk. Badala ya kukopi kile kilichofanywa na nchi zilizopiga hatua, sisi tunakopi nchi zilizo fail big time. Kuondoka kwa Nyerere siyo kwa vile alizeeka. Aliona siasa zake zimeshindwa. Mwinyi, Mkapa na Kikwete wakarekebisha mambo kwenye soko. Hawa jamaa wameamua kuturudisha kwa Nyerere. Kwamba ukishikwa na noti ya dola wewe ni mhujumu uchumi! Unatupwa jela. Wakati utafika hatutaruhusiwa kuwa na $ bila kibali. Kweli lazima kila mtu aishi kama shetani.
 
Kanuni ya 11 inasema miamala miwili au zaidi ikifanywa ndani ya saa 24 na kufikia dola 10,000 za Marekani au zaidi, itachukuliwa kuwa ni muamala mmoja na hivyo itatakiwa kutolewa taarifa.
Monday saa mbili asubuhi na Tuesday Saa nne asubuhi tayari ni zaidi ya masaa 24kwa hiyo siwez kubanwa na sheria
 
Mfanya biashara ambaye mzunguko wake ni mkubwa hana haja ya kuweka pesa zake benk. Kama mtu ushafikia kasi ya 4G kurudi analog ni utumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…