Kanuni mpya ya PAYE


Kwenye mkwanja wa viviani, fungu la kumi kanisani unalikokotoa vipi, ama nyie hamtoi tithe ( Tithe: a. money some Christians give to church. a particular amount of money that members of some Christian churches give to the church)
 

sure,......
 


Tukubali tusikubali kodi ya mshahara ni kubwa sana jamani. suppose mtu kila mwezi unakatwa laki 5 kama kodi ya mshahara. hii ni nyingi sana kwani kwa 10yrs ni milion 60.000,000. Kodi hii ni wafanya biashara wachache sana wanalipa. wengi wa wafanyabiashara hulipa hiyo laki 5 kwa mwaka na siyo kwa kila mwezi.
 

Mkirua,

Namba moja naomba ufafanuzi! 2036,666*10% = 183,2994 kivipi? Kihesabu 2,036,666 *10% ni 203,666/=

Pili, Umezingatia hili kuwa maximum Tax deductible NSSF ni 200,000?=

Hivyo Taxable amount ni 2,036,666 - 200,000 = 1,836,666/= sasa endelea na uhasibu wako. Naomba kusahihishwa!
 


Huezi amini sijuagi net yangu..inaingiaga tu kwenye account! well nimeshukuru kufahamu.
Then..hapo bold..sijakupata vyema!!! 25% ya nini?
 
Kwenye mkwanja wa viviani, fungu la kumi kanisani unalikokotoa vipi, ama nyie hamtoi tithe ( Tithe: a. money some Christians give to church. a particular amount of money that members of some Christian churches give to the church)

Hilo nalo neno...personally, natoa 10% ya ile pesa niliyosaini kwenye mkataba...before makato yoyote!
Sijui ni sahihi...
 

Aksante mkuu kwa masahihisho. Nikiri kuwa mimi sio mhasibu bali ni maswala ya interest tu!!
Pili ndio nasikia kuwa kuna limit kwenye calculation za NSSF kwamba haizidi laki 2. Hili ni jipya na nitalifanyia kazi ila mwenye taarifa tuendelee kushea!

Tatu kimahesabu hapo juu hakukna shida kubwa ila nilitangulia kumwambia nina tatizo la muda so nimekwenda direct na hilo lilipaswa kuwa jibu la 2,036,666 ukitoa *10%
ambayo inakuwa 1,832,994.4 Kwahiyo naomba isomeke hivyo!

I stand to be criticized!
 
 

Kiongozi mimi ni mlipaji kodi mzuri sana, nitafuatilia hiyo formula imekaaje.

Vinginevyo nashukuru kwa kunipa maarifa zaidi.
 
Very interesting topic, thanks kwa kutustua mkuu...........
 
Hilo nalo neno...personally, natoa 10% ya ile pesa niliyosaini kwenye mkataba...before makato yoyote!
Sijui ni sahihi...
...................................................................
Ki ukweli uko sahihi hata mimi huwa ni hivyo hivyo, kumbuka utakapokuja kuivuta NSSF nusu yake utakuwa hujaitolea tithe, hivyo itolee 10%. Yaani hapo ni full ulinzi in every angle mpaka ushangae.
 
Employee anabamizwa double taxes.
Mara ya mwisho P.A.Y.E adjustments zilifanyika mwaka gani?

Hizi tax brackets zinatakiwa kurekebishwa kila mwaka. Inflation ilivyo juu (almost 20% now), mwakani Tanzania inaweza isitawalike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…