Kanuni 10 za kufuata kuongeza ukubwa wa uume kwa asili

Mafuta yanauzwa kwenye vichupa vidogo sana kwenye maduka ya kisuna,
Unamimina kwenye mkono kiasi dhen unafanya masaji kwa kuvuta uume kwenda mbele,
Kwa dk kumi na tano kwa asubuhi na jioni zinatosha au ukipenda mwenyewe utafanya kwa muda unao taka mwenyewe
Unajichua mpaka hivyo vichupa viishe 3 then kana utakuwa ujafika kiwango chako unanunua tena,
Kichupa kimoja kinauzwa elfu moja that time sijui kwa sasa

Mkuu,
Haya maduka ya kisuna yako wapi?
 
Tumia milking method kila siku kwa miezi mitatu mfululizo.
Hii ni njia ambayo unatakiwa uwe na maji ya vuguvugu na kitambaa
Kwanza utakuwa km unakanda uume kwa maji nayo na kisha baada ya dk 5 za kukanda utaanza zoezi

Zoezi Hilo ni kuvuta uume kutoka shina kuja kwenye kichwa taratibu kwa dk 25-30 kwa siku,hapo unaweza kugawanya dk 10 asubuhi 10 mchana na 10 jioni. Au unaweza kufanya jioni kabla ya kulala kwa dk zote at once
Unapovuta mkono mmoja ushike shina vizuri na mwingine uvute km unakamua maziwa vile

Zoezi Hilo likifanyika kwa umakini mkubwa huongeza urefu na unene wa uume wako.
Pia zoezi Hilo unaweza kulifanya wakati wa kuoga.

Pia unaweza kutumia mafuta kulainisha uume na kupunguza msuguano (friction) kati ya mkono na uume.

Angalizo: hukamati uume kwa mkono wote Bali kidole gumba na kidole kinachofuatia ndio hutumika kuubana uume sawasawa wakati wa zoezi usilegeze sana au kubana sana

Nimependa hili '' angalizo'' mana usipoangalia unaweza kuishia kupiga nyeto
 
Tumia milking method kila siku kwa miezi mitatu mfululizo.
Hii ni njia ambayo unatakiwa uwe na maji ya vuguvugu na kitambaa
Kwanza utakuwa km unakanda uume kwa maji nayo na kisha baada ya dk 5 za kukanda utaanza zoezi

Zoezi Hilo ni kuvuta uume kutoka shina kuja kwenye kichwa taratibu kwa dk 25-30 kwa siku,hapo unaweza kugawanya dk 10 asubuhi 10 mchana na 10 jioni. Au unaweza kufanya jioni kabla ya kulala kwa dk zote at once
Unapovuta mkono mmoja ushike shina vizuri na mwingine uvute km unakamua maziwa vile

Zoezi Hilo likifanyika kwa umakini mkubwa huongeza urefu na unene wa uume wako.
Pia zoezi Hilo unaweza kulifanya wakati wa kuoga.

Pia unaweza kutumia mafuta kulainisha uume na kupunguza msuguano (friction) kati ya mkono na uume.

Angalizo: hukamati uume kwa mkono wote Bali kidole gumba na kidole kinachofuatia ndio hutumika kuubana uume sawasawa wakati wa zoezi usilegeze sana au kubana sana
Acha Hizo Hayo Ni Mambo Ya Kugoogle tu Hayana lolote.

Ifahamike Wazi Kuwa Dawa Za Kupaka (Lotions), Za Kumeza (Pills), Pomu (Penis pumps), Kufunga Uzito (Penis extenders), Kujichua (Jelqing method / Milking) Zote hizi Hakuna Ushahidi Wowote uliowahi Kuonekana Kuwa Kweli Zinaongeza Urefu na Unene wa Cock.
Ni uongo tu Unaosambazwa lakini hamuna ukweli ndani yake.

Kiukweli Mtu aridhike Na Maumbile Yake Aliyozaliwa Nayo Na Wala Asihangaike Na Kutafuta Maumbile Mengine.

Njia ya Surgery Sina Uhakika Nayo.
 
Ustadh unalielezea vipi hili tatizo la kutaka kuongeza maumbile?
Kurudisha Bikra Au Kubadilisha Maumbile
Maasi
SWALI:
KWA MWANAMKE; ANARUHUSIWA KUTUMIA DAWA ZA KURUDISHA BIKIRA? AMA KUYARUDISHA MATITI YAWEZE KUSIMAMA? KWA MWANAUME; ANARUHUSIWA KUTUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME? AMA KUUREFUSHA UUME? AMA KUUNENEPESHA UUME? NA JE NI KWELI KUWA DAWA HIZO ZIPO?

JIBU
Sifa zote njema Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allahu 'anhum jamiy'an) na watangu wema mpaka Siku ya Qiyaamah.

Kila mmoja wetu anafaa ajiulize mwanamke anataka kuurudisha ubikira wake kwa sababu gani? Katika jamii zetu mwanamke hutaka kufanya hivyo kwa sababu alitembea nje na ubikira ukawa ni wenye kuondoka. Inapokuwa hivyo nawe unataka kumuonyesha yule anayetaka kukuoa kuwa wewe bado ni bikra utakuwa umedanganya na hivyo kufanya makosa makubwa sana katika Dini. Ikiwa umeolewa na ubikira ukaondolewa kwa kuingiwa na mumeo haina haja tena ya kurudisha ubikira.

Hivyo, kwa hali yoyote wakati ubikira ukiondoka haifai kwa mwanamke kuurudisha kwa kutumia dawa. Kisha mara nyingi hizi dawa za kemikali huwa zina madhara makubwa kwa mwenye kutumia.
Mas-ala ya kurudisha matiti yawe yatasimama utakuwa unashindana na maumbile ya Alalah (Subhaanahu wa Ta'ala),

Ambaye Ameonya:
)) . .. ﻭَﻗَﺎﻝَ ﻟَﺄَﺗَّﺨِﺬَﻥَّ ﻣِﻦْ ﻋِﺒَﺎﺩِﻙَ ﻧَﺼِﻴﺒًﺎ ﻣَّﻔْﺮُﻭﺿًﺎ (( )) ﻭَﻷُﺿِﻠَّﻨَّﻬُﻢْ ﻭَﻷُﻣَﻨِّﻴَﻨَّﻬُﻢْ ﻭَﻵﻣُﺮَﻧَّﻬُﻢْ ﻓَﻠَﻴُﺒَﺘِّﻜُﻦَّ ﺁﺫَﺍﻥَ ﺍﻷَﻧْﻌَﺎﻡِ ﻭَﻵﻣُﺮَﻧَّﻬُﻢْ ﻓَﻠَﻴُﻐَﻴِّﺮُﻥَّ ﺧَﻠْﻖَ ﺍﻟﻠّﻪِ ﻭَﻣَﻦ ﻳَﺘَّﺨِﺬِ ﺍﻟﺸَّﻴْﻄَﺎﻥَ ﻭَﻟِﻴًّﺎ ﻣِّﻦ ﺩُﻭﻥِ ﺍﻟﻠّﻪِ ﻓَﻘَﺪْ ﺧَﺴِﺮَ ﺧُﺴْﺮَﺍﻧًﺎ ﻣُّﺒِﻴﻨًﺎ (( )) ﻳَﻌِﺪُﻫُﻢْ ﻭَﻳُﻤَﻨِّﻴﻬِﻢْ ﻭَﻣَﺎ ﻳَﻌِﺪُﻫُﻢُ ﺍﻟﺸَّﻴْﻄَﺎﻥُ ﺇِﻻَّ ﻏُﺮُﻭﺭًﺍ (( )) ﺃُﻭْﻟَﺌِﻚَ ﻣَﺄْﻭَﺍﻫُﻢْ ﺟَﻬَﻨَّﻢُ ﻭَﻻَ ﻳَﺠِﺪُﻭﻥَ ﻋَﻨْﻬَﺎ ﻣَﺤِﻴﺼًﺎ ((
((Naye Shaytwaan alisema: Kwa yakini nitawachukua sehemu maalumu katika waja wako)) ((Na hakika nitawapoteza na nitawatia matamanio, na nitawaamrisha, basi watakata masikio ya wanyama, na nitawaamrisha, basi watabadili Aliyoumba Allaah.

Na mwenye kumfanya Shaytwaan kuwa ni mlinzi wake badala ya Allaah basi huyo amekhasiri khasara ya dhaahiri)). ((Anawaahidi na anawatia tamaa. Na Shaytwaan hawaahidi ila udanganyifu)) ((Hao makao
yao ni Jahannamu, na wala hawapati makimbilio kutoka humo)) [An-Nisaa 4:118-121]

Ni hali ya kimaumbile kuwa kila umri ukizidi kuwa mkubwa matiti huwa yanaanguka. Na kurudisha matiti inabidi kufanyiwa upasuaji au kutumia dawa na hizo zinakuwa na madhara kwa mwanaadamu. Na katika Uislamu haifai kujidhuru au kumdhuru mwengine. Ikiwa unayo magonjwa ambayo dawa yake ni kufanya hivyo hayo yatakuwa ni mas-ala mengine, kwani Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “ Allaah Hakuleta magonjwa isipokuwa Ameleta na dawa yake ” (Ahmad, Muslim na an-Nasaaiy).

Mas-ala ya dawa nyingi ambazo zipo madukani kama viagra na kadhalika zina madhara makubwa kwa mwanamume hasa akiwa bado ni kijana au barobaro kwani huwa zikiua kabisa maume. Hizi zinaweza kutumiwa na wale ambao umri wao ni mkubwa, wazee ambao kwa sababu ya uzee wao utupu wao huwa hausimami au huwa wanamaliza mara moja haja zao wanapokutana na wake zao. Vijana wengi huathirika na kupoteza nguvu maume yao kwa sababu ya kuangalia filamu za ngono au picha au kuangalia wanawake barabarani kwa matamanio.

Hivyo, ikiwa kila mara kijana atakuwa akitoa manii ule uume huwa unazorota mpaka unakuwa hauna nguvu tena. Kupiga punyeto ni sababu nyingine kubwa yenye kudhoofisha maume.

Ni nasaha zetu kuwa mwanamume akiwa angali kijana asiwe ni mwenye kutumia dawa hizi kwani angali ana nguvu na inabidi ajitahidi anapokutana na mkewe apandishe ashiki kwa kumbusu, kuzungumza maneno matamu, kumshika shika sehemu nyeti na vitangulizi vya mapenzi kabla ya kumuingilia mkewe ili kila mmoja apate raha. Ikiwa mtu hana budi atumie dawa basi atumie dawa za miti kama hawlinjaan ambayo inatiwa katika maziwa nusu saa kabla ya kitendo cha ngono. Hii dawa inasaidia na haina madhara kwa mwili.

Kila mmoja ana urefu na upana wa uume wake ambao unamtosha katika shughuli ambayo imeumbiwa kwayo. Kurefusha na kuunenepesha uume ni katika kubadilisha maumbile ya Allah (Subhaanahu wa Ta'ala) jambo ambalo limekatazwa katika sheria ya Kiislamu kama tulivyotaja katika hiyo Aayah ya juu.

Ama kuhusu dawa hizo huwa zinapatikana kwa matabibu hawa katika miji yetu ya Afrika Mashariki na hasa mwambao wa Pwani.
 
Kwanza kufanya hivyo ni dhambi kwa imani yangu kwani kufanya hivyo ni sawa na kujichubua

Hii inamaana kwamba unamkosoa Mungu kuwa amekosea kukuumba wewe ndo unajua sana

Kijana jikubali the way you are
 
Paka mavi ya mtoto mchanga kwenye uume wako kutwa Mara 2 baada ya masaa 6 unafuta kwa kupakaza na ndimu au limao tafuta na mafuta ya samaki paka kuzunguka sehemu zote za uume wako baada ya mwezi mmoja utaona matokeo.
 
Back
Top Bottom