Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,548
- 3,554
Mi nilisoma hadi page ya 6 nkitafuta majibu yako ikabidi ni jump hadi ya mwisho ndo nimeyakuta.Nawashukuru wote kwa ushauri na mawazo yenu, nipo kimya kwa kuwa sio rahisi kama mnavyofikiri, mmeuliza vitu vingi nimeshindwa hata namna ya kujibu, naomba nijibu machache
Hospital nilipewa contact za watu wa counseling, na ninaendelea vizuri, ndio maana nimepata hata nguvu za kuandika haya yote, mwanzo nilikua vibaya sana
Dalili za huyu jamaa kunihitaji zimekuwepo siku nyingi sana, ingawa hakuwahi kutamka, lakini amekua akiniomba kutoka outing mara kadhaa, hata hivyo outing za wawili tu nimekua nikizikataa, ila za wengi kama kundi la marafiki na kadhalika ndio nakubali, ila yeye na mm tu hapana
HIV nilipimwa nikawa sina, ila natakiwa kupima tena march,
Ingawa siwezi kuita ni upendo moja kwa moja, ila huyu bwana kama angenihitaji ningeweza kufikiria ombili lake, urafiki wetu wa kawaida ni wa siku nyingi, mwenendo wake ulionesha ipo siku atanitamkia, kwa kuwa hakuwahi kutamka niliendelea na maisha yangu bila kumfikiria, hivyo tukaendelea na urafiki wa kawaida wa kupeana lifti
Kuhusu mchumba wangu, pamoja na kuwa tumedumu kwa 3 yrs, lakini amekua mgumu sana kufikia maamuzi ya ndoa, mara kwa mara anaanzisha process kabla ya aadae kudai tusubiri kwanza, hadi wazazi wameshachoka nae, sasa hatujui safari hii yupo serious au la? Ndio maana huyu staff mwenzangu kama asingenifanyia kitendo cha kunibaka basi kwa asilimia kubwa nilikua tayari kumpa nafasi maana nimemsoma tabia hivi hivi tukiwa marafiki wa kawaida na kumuona ni mtu mzuri, kaja kuharibu kwa kitendo hichi alichofanya ambacho kimemuondolea heshima zote
Kuhusu polisi, mm ndie nilitoa report na kupewa pf 3 kwa ajili ya matibabu, hivyo kesi haijafikishwa mahakamani bado, lakini vielelezo vipo, polisi pia nimewaeleza kama hivi nilivyoeleza hapa, hivyo kwa mazingira ya tukio hii situation ni very tricky wakasema, baada ya majadiliano ya kina kati ya afisa upelelezi, mpelelezi, dawati la jinsia etc, wameomba nitafakari mwenyewe kama nina nia ya kuendelea na hii kesi au la? Ili ikishaanza nisiwasumbue tena, angalizo hili limetokana na historia yangu na huyu mbakaji, wao hawana tatizo, maana report ya doctor ipo na vielelezo vingine ie sms ambazo jamaa anaendelea kunitumia akiniomba msamaha akitaja tukio husika
Hivyo polisi hawawezi kuendelea na kesi bila mm shahidi namba moja kuonesha nia ya kesi, ni lazima wanisikilize mm
Katika mazingira haya ndipo nikaja kwenu, sikua na uamuzi, ila baada ya kupitia comments zenu nitapata muafaka, ingawa napitia hard time psychologically
Thanx
Nachokushauri mimi MSAMEHE tu huyo jamaa mana anaonesha kweli alikua na nia na ww ila ndo alikua mzito na ww hukumpa sana attention
Pili kubakwa ni psychologicaly mentality ambayo ukiamua kuifuta kwenye mind yako basi ni suala la sekunde 1 tu
All in all nakutakia kila la heri mdada
Mwamba