Kanisani Pekupeku

hivi sharifu bado ni mtoto?..tangu miaka ya mwanzoni ya 90 namsikia bado ni mtoto kweli?.
 

hao wamebakiza kidogo tu kuwa waislamu..masista wenyewe wanavaa hijabu/kilemba..

huwezi ingia kwenye nyumba ya ibada/ nyumba takatifu na viatu..hao wako sahihi kabisa
 
Na waisilamu kuua ili kuilinda dini, kulipiza kisasi, kuahidiwa mabikira 70 mbinguni hayo nayo ni masharti ya dhehebu gani la kikristo?
 
Aaaaaah hiyo ni dini ya father nkwera na waumin wake. Kuimba nyimbo za kikatolik sio kosa coz si nimaandiko yakwenye vitabu vya dini pia inawezekana tune ameipenda. Na haina madhara kwa katolik ndo maana wamemuacha coz huo ni utaratibu wake.
 
Hili ni shirika la makapuchini chini ya mt. Fransisco toka italy wanamuenz kwani tangu kipindi hicho aliishi hivo,kwa maswali zaid nenda morogoro mjini utamkuta father pekupeku pale radio maria atakujib zaid
 

Mkuu ile sio kanisa bali ni kituo cha sala za maombi(Huduma ya maombezi) ya kikatoliki kipo ndani ya kanisa katoliki na Vatican inakitambua!Ni kituo kwa ajili ya binadamu wote haijali dini,kabila,umri nk(binadamu wote wenye matatizo na huduma ni bure) Watu wanavua viatu kwa sababu pale ni PATAKATIFU! Siyo tu nyimbo ibada,sala yote ni ya kikatoliki(Ule ukatoliki asilia kabisa unafuatwa na ndivyo inavyotakiwa makanisa ya katoliki yafuate). Ni chombo cha kuokoa binadamu baada ya binadamu kurudia maovu ya Enzi za sodoma na Gomora.Ni safina ya karne yetu kiongozi wa duniani ni Fr Nkwera lakini Msimamizi mkuu ni Mama Bikira Maria(Mamake Yesu). Nawasilisha mwenye kuamini aamini,MATUSI HAPANA!
 
Hili ni shirika la makapuchini chini ya mt. Fransisco toka italy wanamuenz kwani tangu kipindi hicho aliishi hivo,kwa maswali zaid nenda morogoro mjini utamkuta father pekupeku pale radio maria atakujib zaid
Siyo kweli Mkuu soma post hapo juu
 
mimi ni mmoja kati ya wanamaombi hao
nafikiri sasa utapata majibu sahihi ndugu yangu
 
K
Pole sn! Unaejua haramu Nguruwe tu wakati pweza wala!
Bongolala hoja yake nyepesi sn na haya ndo majibu yake!

Kuna vyakula vingine ni haramu kwa wana wa Israel tu,,nguruwe na baadhi ya vingine ni haramu kwa walimwengu wote, na mnyama aliechinjwa bila kutajwa jina la mungu pia ni haramu,
 
We
Lakini bado vitu kadhaa ili uslam utekelezwe, mfano, wakristu wakianza kujiripua au kuua ili wapate mabikra 72 mbinguni, wakianza kusali pamoja na majini nk
We sio mzima kwa yakini ,
 
Umeenda kuaga maiti ninii mbona lasikunyingii

Ila kama mnaaga msibaa wanashauri mkantage hivohivo kiukweli wako so unique...pamoja NA yote wanasali vizuri kabisa.....NA Mungu anasikia salazaoo
 
Jmali shidaa shule awawatu..we mtukaulizia ya rev nkwera sasa wamekuja NA

Uislam

Ukristo

Haaramuu

Mara kitimotoo

Maraa pwezaa

Mtakuja NA energy mara cokelight loh
 
mbona ni kanisa la siku nyingi sana hilo? kiongozi wake ni Father Nkwera aliyeasi Catholic
Hakuasi isipokuwa yeye anakarama ya kuombea watu wakapona,askofu wake alikuwa anasigana naye kuhusu hiyo Huduma ndiyo Nkwera hakukubaliana kanisa likamtenga ndiyo akaanza kuhudumu kivyake.wanaitqa wanamaombi
 
Wewe kweli ni BONGOLALA!
 
Wakuu mambo ya rohoni hueleweka kwa jinsi ya rohoni, na mwilini kwa jinsi ya mwilini.Dini haimpeleki mtu mbinguni,bali imani safi na moyo safi.
 
Wakuu mambo ya rohoni hueleweka kwa jinsi ya rohoni, na mwilini kwa jinsi ya mwilini.Dini haimpeleki mtu mbinguni,bali imani safi na moyo safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…