Baba Paroko wa Parokia ya Roho Mtakatifu Kitunda kwa nini anakuwa na kigugumizi cha kutangaza Jumuiya zilizohamishwa kutoka Parokia yake kwenda Parokia ya Kipunguni - Akwino.
Kwanini bado hatangazi ili hali taarifa anazo haoni kama waamini anawagawa!
Kanisa Katoliki linamsimamo lazima aheshimu maamuzi ya Askofu kugawa mipaka haiwezekani watu watembee km 4 kwenda kusali ili hali kuna Parokia ipo karibu hata km 1 haifiki.
Baba Askofu amuangalie sana huyu paroko amekaa hapo muda mrefu ametengeneza himaya yake. Kitu ambacho sio kizuri kwa Kanisa.
Haiwezekani tumehamishwa kwenda Parokia nyingine lakini viongozi wanadai michango ya Parokia nyingine ambayo tumeshahama hili ni tatizo na linaleta mgawanyo ndani ya Jumuiya.
Nawasilisha.
Kwanini bado hatangazi ili hali taarifa anazo haoni kama waamini anawagawa!
Kanisa Katoliki linamsimamo lazima aheshimu maamuzi ya Askofu kugawa mipaka haiwezekani watu watembee km 4 kwenda kusali ili hali kuna Parokia ipo karibu hata km 1 haifiki.
Baba Askofu amuangalie sana huyu paroko amekaa hapo muda mrefu ametengeneza himaya yake. Kitu ambacho sio kizuri kwa Kanisa.
Haiwezekani tumehamishwa kwenda Parokia nyingine lakini viongozi wanadai michango ya Parokia nyingine ambayo tumeshahama hili ni tatizo na linaleta mgawanyo ndani ya Jumuiya.
Nawasilisha.
