Kanikimbia baada ya kumtaka tukapime H.I.V

Kanikimbia baada ya kumtaka tukapime H.I.V

Maisha pesa

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2015
Posts
681
Reaction score
632
Habari wanaJF,

Hivi karibuni nimempata mtoto mkali kutoka Ilala kwakweli yule dada ni mzuri wa haja, baada ya kuwa pamoja kwa siku kazaa tulipanga Jumapili ya Tar.7/2/2016 tukalambe asali kwa mara ya kwanza.

Siku moja kabla ya tukio hilo yaani Jumamosi usiku wa kuamkia Jumapili tulichat akaniuliza kama nimewahi kupima H.I.V nikamjibu ndio nimepima mara nyingi na mimi nikamgeuzia swali hilohilo akanijibu ameshapima basi hapo hapo nikamwambia kesho ukija tutaenda kupima tena kabla ya gegedo, hakujibu hiyo text hadi leo hii.

Nimejaribu kumpigia mara nyingi hapokei, nimemtumia msg kibao lakini hazijibiwi na Leo ni Jumanne wakati gegedo ilibidi liwe juzi.

Kwahiyo wakuu niamini kama ameathirika au ameogopa tu kupima? Yaani sielewi! Lakini pia hajala hata mia yangu.
 
Hata sisi hatujui muulize mwenyewe siku akipokea simu yako!
 
Habari wanajf. Hivi karibuni nimempata mtoto mkali kutoka Ilala kwakweli yule dada ni mzuri wa haja, baada ya kuwa pamoja kwa siku kazaa tulipanga jumapili ya tar. 7/2/2016 tukalambe asali kwa mara ya kwanza.
Siku moja kabla ya tukio hilo yaani j.mosi usiku wa kuamkia j.pili tulichat akaniuliza kama nimewahi kupima H.I.V nikamjibu ndio nimepima mara nyingi na mimi nikamgeuzia swali hilohilo akanijibu ameshapima basi hapo hapo nikamwambia kesho ukija tutaenda kupima tena kabla ya gegedo, hakujibu hiyo text hadi leo hii.
Nimejaribu kumpigia mara nyingi hapokei, nimemtumia msg kibao lakini hazijibiwi na Leo ni j.nne wakati gegedo ilibidi liwe juzi. Kwahiyo wakuu niamini kama ameathirika au ameogopa tu kupima? Yaani sielewi!!! Lakini pia hajala hata mia yangu.
Hata kama angekula milioni maadam kachomoa kupima haina shida aende tu.
 
huyo achana nae tuu, maana hamna namna
 
Back
Top Bottom