kiizarob
Member
- Sep 13, 2017
- 40
- 21
Habari wana JF hope mko vizuri.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna mama mmoja hapa mtaani from nowhere kaniita chek bobu, nimeumiza sana kichwa kujua maana ya hilo jina ila nikakumbuka kuwa kuna wana JF wanaweza kunisaidia maana ya CHEK BOBU. Naomba msaada wadau ili nieendelee kudadavua uyu maza ananichukuliaje
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna mama mmoja hapa mtaani from nowhere kaniita chek bobu, nimeumiza sana kichwa kujua maana ya hilo jina ila nikakumbuka kuwa kuna wana JF wanaweza kunisaidia maana ya CHEK BOBU. Naomba msaada wadau ili nieendelee kudadavua uyu maza ananichukuliaje