Kaniambukiza gono, mimi nimemwambukiza VVU

chanawaleti

Senior Member
Jul 4, 2016
176
209
Hii sijui niite ngoma droo au laa huyu binti nilikuwa natoka na rafiki yake nikiwa Dar na alikuwa anajua vizuri nilipotezana nao baada ya mimi kuja mkoani Nyanda za Juu kusini siku moja nipo na washikaji tunapata moja mbili Tatu nikamwona nilivyomuuliza unanikumbuka akasema yaa wewe si pita?

Nikamjibu yaa nikamuuliza rafiki yako yupo wapi akanijibu Dar but walikosana sasa sikutaka kukaa pale nikamwaga nasema kula kitimoto akataka kuondoka na mimi nikakataa but nikamjibu narudi sasa baada ya siku nne nikaenda baada ya kunipigia simu tukiwa pale akaomba tutoke out.

Tulipotoka tukaanza stori na bia kama kawaida akaniambia rafiki yake waligombana baada ya huyo rafiki yake kumchukulia bwana sasa anataka kulipiza kisasi tulipiga stori nyingi akaniambia jins rafiki yake alivyokua ananisifia coz kiukweli tulifanya mengi.

Nilimwonea huruma coz najijua mimi ni muathirika but tulishutukia tupo rum kilichonishangaza nilivaa kondom but aliivua nikakuta dushe lipo upande wa pili kiukweli na bia na konyagi nilizokunywa nilichukua Muda mrefu sana bila kurusha wazungu kuna saa nilisikia mkojo saa kumi na moja nilipoenda kukojoa nilisikia maumivu makali kwenye njia ya mkojo.

Nikajipa matumaini kwa kuwa nilifanya muda mrefu bila kupata bao maybe kulikucha nikaenda job sasa nikiwa job nikienda kojoa bado maumivu baadae mchana nikaona usahaa nikajua tayari gono hilo jioni nikawahi hospital kuchukua dox na spro ndiyo na siku ya 3 natumia sijarudi na sitaki kumwona tena yule msichana na wala simwambii maana kaniuzi kunipa gono nilikua na lengo la Jumapili niende Dar kwa wife but naogopa maana atajua na kiukweli ni mjamzito.
 
Kwa hiyo hapo kinachokufurahisha ni kumpa ukimwi?
Bila Shaka yeye itakuwa hajijuwi kama ana maambukizi ya gono kwa hiyo siyo kosa lake ila yeye ndiyo kajipinduwa kufanya kitendo bila condom.
Na bado hamna Uhakika kama umemuambukiza vvu au la.
 
... Yaani hauogopi kukusudia kwamba umeamua kua tena kwa kukusudia aiseeee
 
Wewe jipe moyo tu ukidhani umemwambukiza VVU na yeye kakupa gono kumbe huyo dada na yeye alikuwa navyo vyote VVU na GONO juu kwa hiyo hapo we ndo umeliwa maana umeongezewa hvyo VVU na Gonjwa la zinaa juu...Na inaonekana unahitaji Elimu sana juu ya kusihi na VVU hauna hiyo Elimu kabisa..maana ni kama vile umethamiria kuwaambukiza wengine kwa makusudi..
 
Wewe jipe moyo tu ukidhani umemwambukiza VVU na yeye kakupa gono kumbe huyo dada na yeye alikuwa navyo vyote VVU na GONO juu kwa hiyo hapo we ndo umeliwa maana umeongezewa hvyo VVU na Gonjwa la zinaa juu...Na inaonekana unahitaji Elimu sana juu ya kusihi na VVU hauna hiyo Elimu kabisa..maana ni kama vile umethamiria kuwaambukiza wengine kwa makusudi..
mkuu soma vizur uzi nilivaa kondom but nilishituka kaivua sasa mimi nina kosa gani hapo mkuu
 
Kapime damu uone kama hajakuambukiza aina mpya zaidi ya 15 za wadudu wapya tena sugu. Sasa utakula zaidi ya aina 20 za arv.
 
Back
Top Bottom