Sijawahi kumuamini mtu yeyote mwenye kazi ya CCM,,, lazima ni mwizi Tu, awe Kangi, au Filikunjombe ni haohao. Hata mkeo kama ana kadi ya CCM chunga sana, ukizubaa tu anapigwa pipe na maCCM wenzie
Jana nilimsikiliza Mh. Kangi Lugola akisema fedha za ESCROW hazipaswi kuchunguzwa kwa sababu sio fedha za umma
Kibaya zaidi nilishtushwa jinsi alivyogeuka ghafla na kuanza kuwapamba Mawaziri ambao amekuwa akiwaita mizigo
Je fedha zisipokuwa za Umma zinampa kibali CCM Kuiba???Jana nilimsikiliza Mh. Kangi Lugola akisema fedha za ESCROW hazipaswi kuchunguzwa kwa sababu sio fedha za umma
Kibaya zaidi nilishtushwa jinsi alivyogeuka ghafla na kuanza kuwapamba Mawaziri ambao amekuwa akiwaita mizigo
Nyoka Wa Shaba jana kapewa mlungura....
Mbona Bunge la UK walijadili fedha za rada zilizokuwa za Tanzania na kuibiwa na UK kupitia BE System??Jana nilimsikiliza Mh. Kangi Lugola akisema fedha za ESCROW hazipaswi kuchunguzwa kwa sababu sio fedha za umma
Kibaya zaidi nilishtushwa jinsi alivyogeuka ghafla na kuanza kuwapamba Mawaziri ambao amekuwa akiwaita mizigo