Mtandika One
Member
- Jun 22, 2014
- 27
- 19
Yupo vizuri kiasi na kama anataka watanzania wamsamehe dhambi zake atoke ccm na kujiunga na chadema hapo atakuwa amesamehewa dhambi zake zote, vinginevyo atakuwa kwenye kundi hilo hilo la watenda dhambi.
Hivi ni kweli kuna wabunge wa ccm,hawakwenda bungeni?
Mwigulu akiwa MMoja wao.
Kangi ni jembe,yeye na Filiku wana fit kuwakilisha majimbo yao kupitia chama chochote.
Waliobakia 2015 wana kazi kwel kwel.
Kaka umesema kweli ni kubwa jinga hata mwibara wamememchoka
Kaka umesema kweli ni kubwa jinga hata mwibara wamememchoka
Kaka umesema kweli ni kubwa jinga hata mwibara wamememchoka
Umenena vema ndugu,huyu anatafuta ugali wa tumbo lake wala hana mpango wa kuwatetea wananchi.Ipo siku Mungu atamuumbua kwa matamshi yake aliyoyatoa kumshutumu Kafulira na kuwatetea IPTL /ESCROW),Muhongo na Maswi wake
Kangi Lugola is such a fickle, You can't put a trust on him by 100%,He will stab you in the back just like he did during the Bunge la Bajeti,wakati wa kuijadili bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini,I never trusted him ever since.
Nimwanasiasa gani hapendi publicity?Mpaka uicatch media positively,you have something worthy!Kangi Lugola ni kubwa jinga anaependa media attention
Acha kabisa huyo jamaa.Ni Mtanganyika wa ukweli.He usually calls spade a spade.
Umenena vema!Pia Keissy nae ni mh ambae hapendi kupindisha mambo katu
Wataua wangapi? Umma mzima umewachoka.
Hawawezi kisiasa,kwani chama hakitoi ubunge wanaompa mtu ubunge ni wananchi wapiga kura
Kangi Lugola ni kubwa jinga anaependa media attention
Unamkumbuka Kolimba?