Kama ni hivyo basi Sugu haitaji kampeni Mbeya mjini kwa kuwa amevunja rekodi ya kipimbi bungeni.Wananchi wanahitaji kushughulikiwa kero zao zinazowakabili katika maisha yao ya kila siku kama elimu,maji na barabara sio mbunge kugeuka kuwa msema hovyo
Samadi inakuwasha
Kangi mwiba ccm
Ni vizuri umeeongelea Mbeya ambako ni nyumbani kwetu,kwetu ni hapa sai,kwa taaarifa yako ndugu yangu hapa Mbeya sugu tumemkubali na 2015,niafadhali watu wa vyama vingine wasije kuchukua form kabisa
Ni vizuri umeeongelea Mbeya ambako ni nyumbani kwetu,kwetu ni hapa sai,kwa taaarifa yako ndugu yangu hapa Mbeya sugu tumemkubali na 2015,niafadhali watu wa vyama vingine wasije kuchukua form kabisa
Ndivyo unajitoa fahamu
Huyu jamaa watamuua.
Na kumbuka waswahili usema mwiba unakoingilia ndio unako tokea
......Kangi Lugola.....
Umenena vema ndugu,huyu anatafuta ugali wa tumbo lake wala hana mpango wa kuwatetea wananchi.Ipo siku Mungu atamuumbua kwa matamshi yake aliyoyatoa kumshutumu Kafulira na kuwatetea IPTL /ESCROW),Muhongo na Maswi wakeHuyu mdogo wangu simwamini kabisa hasa baada ya kugeuka wananchi kwenye bajeti ya nishati na madini. Tangu hapo simwamini kabisa.
Huyu jamaa watamuua.
Kuna mwanasiasa hapendi media attention?Kangi Lugola ni kubwa jinga anaependa media attention
Kama ulisikilza bunge la Bajeti kwenye Wizara ya Nishati ,lazima ujue kuwa Kangi sio jembe wala nini yule hana lolote.Kangi ni jembe,yeye na Filiku wana fit kuwakilisha majimbo yao kupitia chama chochote.Waliobakia 2015 wana kazi kwel kwel.
Kangi Lugola ni kubwa jinga anaependa media attention