bukoba04
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 1,402
- 1,294
Siro na Kang ni watu wanaotoka mkoa mmoja, ila pia kuna tetesi kuwa walipita seminary moja ingawa Kang akubahatika kumaliza...
so ni watu wanaofahamiana, usidhan ipo siku Siro atakuja kumaind kwa kile anachokifanya Kangi...
kingine ni kwamba Sirro ni mnyenyekevu na mtii sana, rejea kipindi akiwa RPC Akidhihakiwa na kudhalilishwa kama mtoto na RC Makonda kabla ya kupandishwa cheo na kiwa IGP
so ni watu wanaofahamiana, usidhan ipo siku Siro atakuja kumaind kwa kile anachokifanya Kangi...
kingine ni kwamba Sirro ni mnyenyekevu na mtii sana, rejea kipindi akiwa RPC Akidhihakiwa na kudhalilishwa kama mtoto na RC Makonda kabla ya kupandishwa cheo na kiwa IGP