Mhimili uliojichimbia
Senior Member
- Jul 2, 2017
- 192
- 235
Huyu waziri nasikia ni mgane.
Sijui itakuaje sasa nipate mawasiliano
Pm please
Huyu waziri nasikia ni mgane.
Sijui itakuaje sasa nipate mawasiliano
Mh. Waziri Lugola anaonekana kama ni professional, mimi sijui profession yake ni nini lakini nadhani naye ni askari pia. Ninaanza kuona dalili kuwa ata-deliver kwa kiwango cha juu sana katika wizara hii, in short I like him. Hata hivyo nashauri tu maagizo yake anayompa IGP, awe anampa katika staili ya kirafiki zaidi, anapokuwa ni mali kiasi kwake anaweza wakati mwingine akamchanganya asifanye kama anavyomtaka afanye. Sirro is a man of action, kwa hiyo waziri awe comfortable maagizo yake yote anayoyatoa yatafanyiwa kazi kama anavyotka, asiwe mkali sana hata kwa Siroo!Kwa namna Rais Dk. John Pombe Magufuli alivyoiendesha Serikali yake akisaidiwa na PM katika miezi yake miwili tangu aapishwe tarehe 5.11.2015, ilikuwa ni wazi kuwa mmojawapo ya Wabunge ambao wasingekosekana katika Baraza lake la Mawaziri alilotangaza Disemba 10, 2015, ni Kangi Lugola.
Hata hivyo, bahati haikuwa yake akaachwa benchi. Hata alipoteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira, haku-deliver kufanya mtu ku-notice.
Mambo yamebadilika kabisa baada ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Though maamuzi yake mengi yamekuwa controversial, still ameleta vionjo vipya kwenye utendaji kazi ambavyo haviko kwa Viongozi wengine. Amemfunika 'another' Sheriff in Town - Paul Makonda, ambaye kwa miaka miwili ameiteka media kwa kiwango kikubwa.
Baadhi ya Maagizo ambayo yameleta mijadala mikubwa nchini ni:
Faida kubwa ya Lugola, ni kulifahamu vyema Jeshi la Polisi ambalo kwa hakika ni synonymous na Wizara hiyo.
- Jeshi la Polisi kushughulikia zuio la Mabasi ya abiria kusafiri usiku.
- Jeshi la Polisi kutafuta Mbwa wa Kikosi cha Farasi na Mbwa aliyepotea.
- Jeshi la Polisi kumpeleka ofisini kwake, Mmiliki wa Lugumi.
- Dereva na mmiliki wa gari bovu likipata ajali kuwekwa mahabusu kabla ya kupelekwa mahakamani.
Ushauri kwa Kangi Lugola: Ajitahidi kutoa maagizo kwa staha hasa kwa Wateule wa Rais, hasa IGP kwani pasipo kupata legitimacy ya Sirro, kazi yake itakuwa ngumu.
View attachment 815468
Ili tujue anafanya kazi kwa weledi, aamuru jeshi la Polisi lifanye Yale ambayo hayakufanywa na mtangulizi wake sio hayo ya mbwa au kumleta Lugumi ofisini.Mh. Waziri Lugola anaonekana kama ni professional, mimi sijui profession yake ni nini lakini nadhani naye ni askari pia. Ninaanza kuona dalili kuwa ata-deliver kwa kiwango cha juu sana katika wizara hii, in short I like him. Hata hivyo nashauri tu maagizo yake anayompa IGP, awe anampa katika staili ya kirafiki zaidi, anapokuwa ni mali kiasi kwake anaweza wakati mwingine akamchanganya asifanye kama anavyomtaka afanye. Sirro is a man of action, kwa hiyo waziri awe comfortable maagizo yake yote anayoyatoa yatafanyiwa kazi kama anavyotka, asiwe mkali sana hata kwa Siroo!
haaaaIla Dsm sio town ni City always jogoo wa shamba hawiki jijini
finaly umekubali na kuelewa"" vyema sanaYou're right mzee. Ni kweli asizidishe itasababisha aonekane ana shobo.
hahahaaToyota Alphaxard.
ewaaa exactly indeedMimi nina hamu ya kupata Majibu kuhusu Mbwa wa Bandarini Jibui Lisiwe Kinyemela tunahitaji Kelele Zilezile kwa Majibu yenye Mashiko
Utaniprleka kwa kagi?Pm please
ndio hivyo visasi....?Analifaham, na amesurubika nalo sana, sasa anawanyoosha na kupigiwa saluti na wale aliokuwa akiwapigia saluti.
Ukitambua kuwa kichwa sio mfuko wa kubebea mwili ,utakuwa umetoka kwenye sehemu mbaya.Mbowe aliondoa mgombea Uraisi W. Slaa akaleta Fisadi!
Inahusianaje na mada?Mbowe aliondoa mgombea Uraisi W. Slaa akaleta Fisadi!
Hakika mkuuInahusianaje na mada?
Wakati mwingine kukaa kimya ni busara kuliko kupayuka utumbo