Kangi Alphaxard Lugola: A new Sheriff in Town

Kangi Alphaxard Lugola: A new Sheriff in Town

Mkuu asante kwa uandishi wa enzi za Rai. Nakumbuka enzi hizo nilikua secondary ila nilikua nasoma sana hilo gazeti bro zangu walikua hawalikosi na walikua wakilisoma wanaanza kuhadithiana hivi jinsi gazeti lilivyotamu nikajikuta nimekua member nasoma kila page. Daah, gone are those days
Aisee!
Binadamu hakika tunatofautiana kwa kiwango kikuu sana!
Mimi nitasema “gone are good days and the gr8 days are now and forever walahi ‘
 
Awamu hii ni awamu ya wenye kuboronga. Anayeboronga hubakia kwenye nafasi yake na pengine kupandishwa cheo kabisa. Siyo awamu ya kufuata misingi ya kiuongozi na kuhusisha tafakuri na nadharia zake.

Mifano ni mingi. Gambo RC wa Arusha alipoonyesha inda na fitina za wazi dhidi ya mbunge wa Arusha Mjini na wapinzani kwa ujumla ameonekana ni kidume anadunda na anadumu Arusha.

Sote tunajua Mnyeti ili kuwa RC wa Manyara ilimbidi kufanya biashara ya kununua madiwani akiwa DC.

DC wa Iringa Mjini ili adumu na kushikilia nafasi yake ilimbidi kuonyesha mpambano wa wazi na mbunge Msigwa.

Siandiki makusudi kabisa yanayomhusu RC Makonda najua mnayajua.
 
Huyu aliyopo sasa na huyo aliyeondolewa wote hawana mwenye afadhali. Mwigulu anafahamika vema kwa matendo yake kabla ya kuwa waziri na alivyoshindwa kuoingoza hiyo wizara alipopewa uwaziri. Kama alibanwa na akashindwa kuchukua hatua juu ya matukio mabaya kabisa yaliyokuwa yakitokea kwanini hakujiuzulu hadi aje aondolewe kwa aibu!! Ina maana alikuwa anayaunga mkono, maana hata kauli zake zilionyesha hivyo.
 
Wenye akili awamu hii wanaomba kustaafu na hujiuzuru nafasi zao.

Walioomba kustaafu mnawafahamu, sitawataja hapa. Waliojiuzuru wako wengi, ngoja niwape mifano 2 tu.

DC wa Uyui alijiuzuru wakati huo kukiwa na kauli kali kutoka juu iikiwataka maDC wasitangaze kuwa kuna njaa ktk maeneo yao. MTU wa watu akaona ya nn ? Akaachia uDC.

Nyalandu mbunge wa Singida Mashariki kupitia chama tawala CCM aliiona nguvu kubwa toka juu ikiyabomoa meno na kuondoa kabisa makali ya bunge akaamua kwa hiari yake kuachia ubunge na uanachama wa ccm.
 
Mh. Waziri Lugola anaonekana kama ni professional, mimi sijui profession yake ni nini lakini nadhani naye ni askari pia. Ninaanza kuona dalili kuwa ata-deliver kwa kiwango cha juu sana katika wizara hii, in short I like him. Hata hivyo nashauri tu maagizo yake anayompa IGP, awe anampa katika staili ya kirafiki zaidi, anapokuwa ni mali kiasi kwake anaweza wakati mwingine akamchanganya asifanye kama anavyomtaka afanye. Sirro is a man of action, kwa hiyo waziri awe comfortable maagizo yake yote anayoyatoa yatafanyiwa kazi kama anavyotka, asiwe mkali sana hata kwa Siroo!
Yes kwa utendaji wa Siro nadhani polite language inatakiwa kuepuka kum frustrate japo sijui protocol za police nadhani itapendeza zaidi ila pia tumeshuhudia mh waziri mkuu akitaka maelezo idara mbali mbali bila kuwa na ulazima wa kumtaka waziri husika
 
"Ama zangu ama zake"..in kangi's voice..hako ka nyoka (Fatma Karume)nitakaponda kichwani..
Huyu mama atumie busara na hekima atafika mbali lakini akijifanya mbabe kwa kweli atapondwa hicho kichwa yesterday!
 
Awamu hii ni awamu ya wenye kuboronga. Anayeboronga hubakia kwenye nafasi yake na pengine kupandishwa cheo kabisa. Siyo awamu ya kufuata misingi ya kiuongozi na kuhusisha tafakuri na nadharia zake.

Mifano ni mingi. Gambo RC wa Arusha alipoonyesha inda na fitina za wazi dhidi ya mbunge wa Arusha Mjini na wapinzani kwa ujumla ameonekana ni kidume anadunda na anadumu Arusha.

Sote tunajua Mnyeti ili kuwa RC wa Manyara ilimbidi kufanya biashara ya kununua madiwani akiwa DC.

DC wa Iringa Mjini ili adumu na kushikilia nafasi yake ilimbidi kuonyesha mpambano wa wazi na mbunge Msigwa.

Siandiki makusudi kabisa yanayomhusu RC Makonda najua mnayajua.
Ni kwasababu ya kujiona kila kitu wanajua.
 
Huyu mama atumie busara na hekima atafika mbali lakini akijifanya mbabe kwa kweli atapondwa hicho kichwa yesterday!
Alichofanikiwa ni kuigeuza TLS kuwa chama cha upinzani ndani ya muda mfupi,anastahili pongezi.
 
Back
Top Bottom