ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Hbr wana JF.
Hbr nilizozipata ni kwamba, Mh. Abasi Kandoro aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza kwa sasa mkuu wa mkoa wa Mbeya, ameamua kuachana na mpango wake wa kujiuzia kwa milioni mbili tu 2,000,000/= gari la mamilioni ya shilingi. Gari hilo ni TOYOTA V 8 namba za usajiri STK 3643 lenye speed mita 260. watalamu wa magari mtaiweka vizuri.
Ilikuwa ni gari ya mkuu wa mkoa aliyepita kabla ya kandoro, alipokuja kandoro akaona haimfai japokuwa ilikuwa na miaka chini ya kumi tangu inunuliwe kwa mamilioni ya shilingi. Kandoro alinunua nasikia wanataja G8 V8 sina hakika kwani magari miye siyajui lakini ni la kifahali na ni piston 8 wakati ya awali ilikuwa piston 6 Kandoro aliyoona haimfai akiwa ofisini lakini inamfaa ikiwa mali yake.
Awali niliriport mpango huo kupitia JF kwa linki https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/171833-ya-kandoro-inatisha-ajiuzia-gari-la-tzs-milioni-300-kwa-milioni-2-tu.html , ni maneno na ufuatiliaji wa wadau mbalimbali ulifanikisha kuokoa gari hilo.
Kati ya sababu zilizomfanya kuahirisha kukwapua gari hilo ni pamoja na:
1. Kufuatwafuatwa na watu wa kada mbalimbali walienda kumhoji juu ya taarifa zile.
2. Kujisafisha kisiasa kwani ana mpango wa kugombea jimbo moja la mkoani Iringa na kama angeendelea na wizi ule, vyama vya upinzani vingemshambulia kwa kuiba mali za serikali huku akitumia ofisi za umma.
Hata hivyo, wapenzi wa maendeleo, tuendelee kulilinda gari hilo ili siku likikosekana katika viwanja vya Ofisi za mkuu wa mkoa, tupae tena hewani kuhoji liko wapi isije kuwa tumeingizwa mkenge.
Nawasilisha.
linki:- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...gari-la-tzs-milioni-300-kwa-milioni-2-tu.html
Hbr nilizozipata ni kwamba, Mh. Abasi Kandoro aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza kwa sasa mkuu wa mkoa wa Mbeya, ameamua kuachana na mpango wake wa kujiuzia kwa milioni mbili tu 2,000,000/= gari la mamilioni ya shilingi. Gari hilo ni TOYOTA V 8 namba za usajiri STK 3643 lenye speed mita 260. watalamu wa magari mtaiweka vizuri.
Ilikuwa ni gari ya mkuu wa mkoa aliyepita kabla ya kandoro, alipokuja kandoro akaona haimfai japokuwa ilikuwa na miaka chini ya kumi tangu inunuliwe kwa mamilioni ya shilingi. Kandoro alinunua nasikia wanataja G8 V8 sina hakika kwani magari miye siyajui lakini ni la kifahali na ni piston 8 wakati ya awali ilikuwa piston 6 Kandoro aliyoona haimfai akiwa ofisini lakini inamfaa ikiwa mali yake.
Awali niliriport mpango huo kupitia JF kwa linki https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/171833-ya-kandoro-inatisha-ajiuzia-gari-la-tzs-milioni-300-kwa-milioni-2-tu.html , ni maneno na ufuatiliaji wa wadau mbalimbali ulifanikisha kuokoa gari hilo.
Kati ya sababu zilizomfanya kuahirisha kukwapua gari hilo ni pamoja na:
1. Kufuatwafuatwa na watu wa kada mbalimbali walienda kumhoji juu ya taarifa zile.
2. Kujisafisha kisiasa kwani ana mpango wa kugombea jimbo moja la mkoani Iringa na kama angeendelea na wizi ule, vyama vya upinzani vingemshambulia kwa kuiba mali za serikali huku akitumia ofisi za umma.
Hata hivyo, wapenzi wa maendeleo, tuendelee kulilinda gari hilo ili siku likikosekana katika viwanja vya Ofisi za mkuu wa mkoa, tupae tena hewani kuhoji liko wapi isije kuwa tumeingizwa mkenge.
Nawasilisha.
linki:- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...gari-la-tzs-milioni-300-kwa-milioni-2-tu.html