Kanda maalum ya ushirikina

Me nataka kujua kwa nin wamchague fisi kama usafiri na sio swala
 
Maswali

Je kila mtu anaweza kologeka ?

Je ni mtu wa aina gani analogeka kwa urahisi ?

Je ni mtu wa aina gani halogeki kabisa ?

Lengo ni kujua, kutokana na elimu ya uchawi na ushirikina ni mtu wa aina gani hawezi kuathiriwa na aina zote za ulozi.
Usijibu kwa watu Wachamungu, hao inaeleweka, ukimwamini Yesu Kristo hakuna uchawi wala ulozi wa kukuathiri.
Nataka elimu nyingine inayo zuia ushirikina kufanya kazi kwa mtu.
 
Uchawi ni replica ya maisha haya ya kawaida
Kuna watu kinga ni ndogo hivyo ni rahisi kushambuliwa na magonjwa mbalimbali na kuna watu ni resistant kwa magonjwa
Kwenye uchawi ni hivyo hivyo ila mtazamo pia mtazamo unahusika ....ukiamini katika kulogwa utalogwa kweli
Ukishaanza kushiriki hayo mambo unafungua njia ya kuwa mhanga wa kufanyiwa ushirikina
 
1.Unadhan kwa nini mababu zetu walishindwa kuwaroga wazungu na waarabu waliokuwa wakiwatesa miaka hiyo?
2. Kwa nini katika vita vya majmaj risasi hazikugeuka maji pamoja na kinjekitile kuwa alikuwa mganga maarufu sana miaka hiyo?
3. Team zetu za afrika kwa nini zenyewe kwa zenyewe zinarogana ila zinapocheza na wazungu dawa zao team za afrika hazifanyi kazi?
 
Njia ya kujichinja yani roho na mwili vinatengana nibalaa
 
Hao ngozi nyeupe na njano mbona walirogwa sana tu...ila habari hizi zilifichwa sana
Kinjekitile pia uchawi wake ulisaidia sana ila kinachitajwa na kutangazwa sana ni kule alikoshindwa
 
walirogwa wapi wakati biashara ya utumwa iliendelea na kufanikiwa sana. wazee wetu waliendelea kuteseka na mwishowe walichukuliwa utumwani.kwa nini hatukushinda vile vita? mi nahitaji ushahidi kuwa wazungu walirogwa sana na wakashindwa maeneo kadhaa. sababu kama mpaka mwishoni waliendelea kututawala na kututesa wao na waarabu then ni wazi kuwa mababu zetu walishindwa.

na kwenye mechi za kimataifa inakuaje?
Hao ngozi nyeupe na njano mbona walirogwa sana tu...ila habari hizi zilifichwa sana
Kinjekitile pia uchawi wake ulisaidia sana ila kinachitajwa na kutangazwa sana ni kule alikoshindwa
 
Soma habari za Osale Otango na wengine utajua nazungumzia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…