PostGE2025 Kanali Augustino Polepole asipuuzwe

PostGE2025 Kanali Augustino Polepole asipuuzwe

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Hivi alisema show itaanzia masaki au wapi?
Waungwana em tukumbushane basi
 
1764273754583.png
 
Huyu naye hana lolote mtu wa kufanya kweli hana tantalila nyingi kama kweli analo la kufanya sasa hivi nyumbani kwa Mafwele na Wambura kungekuwa kumefungwa turubai wauaji wenzao wanaomboleza.
Kila kitu kinaenda kwa mipango, we unahisi kila jambo ni la kukurupuka tu.
 
PAtamuuu hapo....lakini uyo kaka ake ni kama chai jaba...kila kitu anaongea tu
 
Back
Top Bottom