Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,028
- 54,320
Huyu Ndiyo Yule Mother Ama Ni ID TuMwanaume hatakiwi kupendwa na kutunzwa? Mama Terry
Huyu Ndiyo Yule Mother Ama Ni ID TuMwanaume hatakiwi kupendwa na kutunzwa? Mama Terry
Hakika aisee ,hasa Hawa walioko vyuoni wanajikuta sijui akina Nan vile,mm huwa nawazoom tu.
Kuna manz yupo chuo fulan nikapendana nae tu from no where nikajikuta nazama kwake ,bac nikajipigia pigia kisela baadae yeye akarud chuo na mm nikarud zangu job maana tulikutana kipind Cha rikizo ,Sasa yakabak mahusiano ya mbal mbal ,tukaenda wee tukasogea mipango kibao kuwa akimaliza chuo nimuweke ndani.
Sasa vitimbi vilianza ,kwanza Hawa mabint Wana njaa na pesa Kama viwav jesh ,nilijitoa kwa chochote nilichonacho nacho had nikageuka Sasa Kama baba ake Mara Leo sijala Mara iki na hapo Ana boom lake fresh tu pia kwenye hela ya boom sion Cha maana anachofanyia kwao mwenyew njaa Kali balaa na sabab anakwambia hela nimetuma home Sasa najiuliza hela ya boom unatumaje home wakat ni ya kukusaidia ww Hana Cha kusema,pia ni Dem ambaye wasap yake imejaa sms za kukopa pesa kwa wanaume Mara niaze 50 ntakurudishia daah Kuna madem Wana njaa hii dunia sijapata kuona nikaona hapa hakuna mwanamke hapa ,ukimwambia Sina ananuna .Nikaanza kumpima Sasa akiomba hela hata km ninayo namwambia sina vumilia bac gafla akaanza kutojib sms zang Wala calls zang Mara akaniblock kila sehem Nan nikamkaushia akijua sijui ntahangaika nae.
Siku zikaenda Nam nikamblock kote ili tusikumbukane kwa lolote na hata Akini unlock akute na mm nimemblock ,alivyoona hivyo akafungua account mpya fb nashangaa kaniomba urafik kwa ujeur nilio nao nikamblock tena kwenye account yake mpya mpaka Leo sitak kusikia habar zake .
Nilishajiapiza siwez umiza kichwa kwa mwanamke mmoja wakat kila leo pussy zinazaliwa alaf Ni mbichi mno zenye mvuto alaf et nibabaike na mwanamke mmoja never.
Note:Hakuna mwanaume anaeanzisha mahusiano na mwanamke kwa lengo baya Ila tabia ndio zinamfanyamwanaume abak kwako au asepe na Mara nyingi madem wa kibongo ukiwaonyesha kuwa unawakubal wanageuza huo upendo Kama fimbo Sasa dawa ya Hawa madem wa Karne hii ili mwende sawa ni kuwa kauzu kimtindo yaan asijue ww Ni mtu gani Leo unakuwa romantic kesho uso wa dagaa
Kwanza hakunaga kushindana na mwanamke, unashindana vipi na kiumbe ambaye ameshakuwa declared kuwa ni dhaifu kwako?!
Pili, mwanaume unanazaje kupata muda wa kubishana au kukinzana na mwanamke?! Kama akikuletea ngenga na vituko, wewe pita hivi achana nae wanawake wabichi wapo kibao ya nini unadeal na m'moja as if ni wa mwisho...?!
Mwache aende, ataringa lakinj hataringa milele. Women age with time and their demand fall and decline with time....
Atapigwa miti, atazaa, atachuja, urembo utaisha, atakuwa kama hawa wamama tunawaona huku mjini ambao hata akikupita haushituki....
Kimsingi urembo wake utaisha, maziwa yatalala, hips zitanyauka, atapunyuka hata ajirembe vipi hatong'aa tena, sasa wewe uhangaike na mtu ambaye kaumbiwa kuringa katika kipindi cha miaka 10 binti kuanzia 19 hadi 29 tayari habari yake inakwisha.....
Unapiga ukuni tokea 18 ukibalehe hadi miaka 80+ kama bado utakuwa unadinda.... Wanawake wamejaa tele, na unavyozidi kuwa mtu mzima ukiwa na pesa yako ndipo unazidi pata wanaokuvutia.... Ya nini kuhangaika na takataka moja....?!
Achana nae....
Imefanya nini tena mkuu?ID Yako
😅😄😃😀😁😂
Haujaona au umeamua kubisha?!Mhhh
Wanaume wa sa hivi? Jeuri ya kupiga ukuni mpka 80+ hamna!!!
Eti anajifanya hajuiUnamjua Juma Kapuya wwe,kaoa toto dogo!!
Umenena haswaaKwanza hakunaga kushindana na mwanamke, unashindana vipi na kiumbe ambaye ameshakuwa declared kuwa ni dhaifu kwako?!
Pili, mwanaume unanazaje kupata muda wa kubishana au kukinzana na mwanamke?! Kama akikuletea ngenga na vituko, wewe pita hivi achana nae wanawake wabichi wapo kibao ya nini unadeal na m'moja as if ni wa mwisho...?!
Mwache aende, ataringa lakinj hataringa milele. Women age with time and their demand fall and decline with time....
Atapigwa miti, atazaa, atachuja, urembo utaisha, atakuwa kama hawa wamama tunawaona huku mjini ambao hata akikupita haushituki....
Kimsingi urembo wake utaisha, maziwa yatalala, hips zitanyauka, atapunyuka hata ajirembe vipi hatong'aa tena, sasa wewe uhangaike na mtu ambaye kaumbiwa kuringa katika kipindi cha miaka 10 binti kuanzia 19 hadi 29 tayari habari yake inakwisha.....
Unapiga ukuni tokea 18 ukibalehe hadi miaka 80+ kama bado utakuwa unadinda.... Wanawake wamejaa tele, na unavyozidi kuwa mtu mzima ukiwa na pesa yako ndipo unazidi pata wanaokuvutia.... Ya nini kuhangaika na takataka moja....?!
Achana nae....
Hizo league za nin sasa.
Tafuta toto piga mashine, piga mashine ukimchoka achana nae
Akikubwaga kisa hujui kuhudumia chukulia poa,
Endelea kutafuta michongo ya pesa.
Anaheshimiwa tuuuMwanaume hatakiwi kupendwa na kutunzwa? Mama Terry
Heshima bila upendo!? Hilo geni kwangu!!Anaheshimiwa tuuu
Soma bibilia, ukishampa upendo lazima atakuheshimuHeshima bila upendo!? Hilo geni kwangu!!
Anajifaraji tu huyo, wakati kuna Wazee kibao tu wameshamtongoza,sema anajifanya hajui Kama hao ni Wazee sema wako ndani ya Mkoko wa nguvu!! Na akili zake zinakua kwa Mkoko tu!!Eti anajifanya hajui
Nzuri sana . Ila siku ingine weka aya /paragraphHakika aisee ,hasa Hawa walioko vyuoni wanajikuta sijui akina Nan vile,mm huwa nawazoom tu.
Kuna manz yupo chuo fulan nikapendana nae tu from no where nikajikuta nazama kwake ,bac nikajipigia pigia kisela baadae yeye akarud chuo na mm nikarud zangu job maana tulikutana kipind Cha rikizo ,Sasa yakabak mahusiano ya mbal mbal ,tukaenda wee tukasogea mipango kibao kuwa akimaliza chuo nimuweke ndani.
Sasa vitimbi vilianza ,kwanza Hawa mabint Wana njaa na pesa Kama viwav jesh ,nilijitoa kwa chochote nilichonacho nacho had nikageuka Sasa Kama baba ake Mara Leo sijala Mara iki na hapo Ana boom lake fresh tu pia kwenye hela ya boom sion Cha maana anachofanyia kwao mwenyew njaa Kali balaa na sabab anakwambia hela nimetuma home Sasa najiuliza hela ya boom unatumaje home wakat ni ya kukusaidia ww Hana Cha kusema,pia ni Dem ambaye wasap yake imejaa sms za kukopa pesa kwa wanaume Mara niaze 50 ntakurudishia daah Kuna madem Wana njaa hii dunia sijapata kuona nikaona hapa hakuna mwanamke hapa ,ukimwambia Sina ananuna .Nikaanza kumpima Sasa akiomba hela hata km ninayo namwambia sina vumilia bac gafla akaanza kutojib sms zang Wala calls zang Mara akaniblock kila sehem Nan nikamkaushia akijua sijui ntahangaika nae.
Siku zikaenda Nam nikamblock kote ili tusikumbukane kwa lolote na hata Akini unlock akute na mm nimemblock ,alivyoona hivyo akafungua account mpya fb nashangaa kaniomba urafik kwa ujeur nilio nao nikamblock tena kwenye account yake mpya mpaka Leo sitak kusikia habar zake .
Nilishajiapiza siwez umiza kichwa kwa mwanamke mmoja wakat kila leo pussy zinazaliwa alaf Ni mbichi mno zenye mvuto alaf et nibabaike na mwanamke mmoja never.
Note:Hakuna mwanaume anaeanzisha mahusiano na mwanamke kwa lengo baya Ila tabia ndio zinamfanyamwanaume abak kwako au asepe na Mara nyingi madem wa kibongo ukiwaonyesha kuwa unawakubal wanageuza huo upendo Kama fimbo Sasa dawa ya Hawa madem wa Karne hii ili mwende sawa ni kuwa kauzu kimtindo yaan asijue ww Ni mtu gani Leo unakuwa romantic kesho uso wa dagaa
Moja kati ya hekima za Suleiman ni hiyo.Mkuu umeacha kuwa mchunga kondoo wa Bwana, nikategemea hapa ungeweka vifungu vya bibilia badala yake unamtaka jamaa atafute toto apige mashine