Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,994
Ogopeni kabisa huu mchezo ni hatari kwa afya na uzima wako na uhai wa gari pia. Kuna kitu cha kushangaza sana kwenye hili jambo! Vitu vya moto hasa vyenye mwendo havipatani kabisa na ngono, sijui kuna nuksi gani kwenye hili.
Nina mifano na shuhuda nyingi, magari makubwa kwa madogo, ya mizigo na ya abiria, yote ambayo yalihusishwa kwenye ngono hasa na michepuko ama na madanga kama yalinusurika ajali mbaya basi yaliharibika ubovu ambao hata kama ni mdogo vipi lakini fundi garage akakosea zaidi na kuongezea ugonjwa hata ukawa mkubwa kabisa.
Kwa kujitutumua kama ni ubovu garage unaweza kuurekebisha lakini hilo gari halitakaa liwe sawa, itakuwa trip job trip kwa fundi. Utahangaika nalo wee mpaka litake kukufilisi, na siku ukitaka kuliuza kwakuwa limekusumbua sana utakuta haliuziki ama utapata bei ndogo mpaka utajuta.
Magari mengi ya abiria hupata ajali zisizo na maelezo kwakuwa utakuta usiku wake kuna watu walilifanyia matusi. Magari mengi ya mizigo nayo ni hivyo hivyo, ubahili wa kwenda gesti na tamaa ya kile kitanda nyuma ya dereva vimewaponza wengi.
Makinika sana kwenye hili, kama ulishajaribu na ukasalimika mshukuru Mungu wako. Ngono hasa ya kuchepuka imebeba maroho mengi na kwa asilima kubwa mengi ni machafu na machafuzi!
Nina mifano na shuhuda nyingi, magari makubwa kwa madogo, ya mizigo na ya abiria, yote ambayo yalihusishwa kwenye ngono hasa na michepuko ama na madanga kama yalinusurika ajali mbaya basi yaliharibika ubovu ambao hata kama ni mdogo vipi lakini fundi garage akakosea zaidi na kuongezea ugonjwa hata ukawa mkubwa kabisa.
Kwa kujitutumua kama ni ubovu garage unaweza kuurekebisha lakini hilo gari halitakaa liwe sawa, itakuwa trip job trip kwa fundi. Utahangaika nalo wee mpaka litake kukufilisi, na siku ukitaka kuliuza kwakuwa limekusumbua sana utakuta haliuziki ama utapata bei ndogo mpaka utajuta.
Magari mengi ya abiria hupata ajali zisizo na maelezo kwakuwa utakuta usiku wake kuna watu walilifanyia matusi. Magari mengi ya mizigo nayo ni hivyo hivyo, ubahili wa kwenda gesti na tamaa ya kile kitanda nyuma ya dereva vimewaponza wengi.
Makinika sana kwenye hili, kama ulishajaribu na ukasalimika mshukuru Mungu wako. Ngono hasa ya kuchepuka imebeba maroho mengi na kwa asilima kubwa mengi ni machafu na machafuzi!