Kampuni za utengenezaji Soda (vinywaji) na usafi

Kampuni za utengenezaji Soda (vinywaji) na usafi

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,376
Reaction score
3,976
Nilikua nadhani hii mambo ya kukuta uchafu kwenye chupa ya soda ya kampuni flani kua ni hujuma ya kampuni inayoshindana nayo,kumbe sio kweli leo nimekutana nayo live soda kutoka depo ya PepsiCo ina bonge la liuchafu kwenye chupa,hivi sasa vipi kuhusu afya zetu na vile viuchafu ambavyo havionekani kwa macho?

Yani mlaji wa Tanzania afya yake imewekwa rehani kiasi cha kusikitisha.Mamlaka yanayosimamia ubora wa hizi bidhaa wako wapi?
 

Attachments

  • 1431613390008.jpg
    1431613390008.jpg
    66.9 KB · Views: 231
  • 1431613554545.jpg
    1431613554545.jpg
    46.4 KB · Views: 209
Mi nimeona miguu mizuri kule mbali..ya chupa hayanihusu manake sinywagi hizo soda zenu
 
Back
Top Bottom