kampuni za simu zinatuibia(kodi)

Hii ni global issue. Makampuni ya simu ni fat heads. Always ni win win situation. Ndo maana management zao zina bonus za kufa nguruwe.

...Nimeipenda sana hii ya 'Kufa Nguruwe' Mkuu! Ni Kweli. Kwa nini Afe Binadamu...????? JF Kiboko.:yo::yo:
 
Back
Top Bottom