jumbenylon
Senior Member
- Jun 12, 2011
- 115
- 10
Habari za leo wadau. Naombeni kufahamishwa. Je ni kampuni gani nzuri na ya uhakika kwa huduma za bima ya nyumba/ mali. Nahitaji kuweka bima kwenye asset za familia. Asante
Ebana hapo me naomba usipate tabu sana nina mengi yakukuambia au kukujulisha kuhusu ilo ila nenda NIC shirika la bima la taifa ao awanaga longolongo kaka.me nimtumiaji wa magari sana na nishapata sana maaajali na nishalipwa sana na ao majamaa na uwaga aizid hata miez miwili kila kitu uwaga kinakuwa poa nakushauli uende pale makao makuu wakakupe maelezo ya kina kwa mahitaji mengine ila me kwenye magari sijawahi kupata shida
Habari za leo wadau. Naombeni kufahamishwa. Je ni kampuni gani nzuri na ya uhakika kwa huduma za bima ya nyumba/ mali. Nahitaji kuweka bima kwenye asset za familia. Asante
ladyfurahia wateja hawafanyi biashara na kampuni za bima, tunaunganishwa na kampuni za bima kupitia mawakala; Jibu lako si sahihi sana maana katika kulipa madai, kampuni za bima hutofautiana, kuna ambazo zinalipa haraka na nyingine ni mpaka wakala afuatilie sanakama binamu charminglady alivyosema hapo juu wewe nenda kampuni yoyote ya bima utalipwa vilevile utakavyo na usiwe na longolongo lolote ile
ladyfurahia wateja hawafanyi biashara na kampuni za bima, tunaunganishwa na kampuni za bima kupitia mawakala; Jibu lako si sahihi sana maana katika kulipa madai, kampuni za bima hutofautiana, kuna ambazo zinalipa haraka na nyingine ni mpaka wakala afuatilie sana
oky kwa ufafanuizi una lingine ?