Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,757
- 21,987
Ok sawa!Tsh
350,000/= kwenye smarthub zetu karibu
Ok sawa!Tsh
350,000/= kwenye smarthub zetu karibu
Kuna muda inajiwasha tochi yenyewe tu ikiwa mfukoni,utasikia paja linaungua tu kwa mbaaaaali taratiiiiiibu.Sema unachotaka kusema mkuu ila tecno ni kero sana!
Simu gani inadownload app yenyewe wakati kwenye setting sijaruhusu? Mbaya zaidi ukiwa kwa internet simu inakuwa ya moto hadi inaleta hofu
Nina 200k iko mfuko wa shatiTsh
350,000/= kwenye smarthub zetu karibu
Kuna muda inajiwasha tochi yenyewe tu ikiwa mfukoni,utasikia paja linaungua tu kwa mbaaaaali taratiiiiiibu.






aiseeeKama ulijua vile! Nimeungua si mara mojaKuna muda inajiwasha tochi yenyewe tu ikiwa mfukoni,utasikia paja linaungua tu kwa mbaaaaali taratiiiiiibu.