Kampuni ya Sea bus express inayofanya route ya Mwanza to Tabora, wanapakia abiria wa kwenda Mbeya badala ya kuwafaulishia Nzega ili wapite njia ya Dodoma Iringa kama walivyokubaliana wao wanawafaulishia Tabora na kupitia njia ya Chunya ambayo ni Barbara ya vumbi.
Nauli ya kutoka Mwanza hadi Mbeya kupitia Dodoma wanatoza 85000.Lakini wanakufaulisha njia ya Tabora Chunya ambayo nauli yake ni 60000. Kwa hiyo wanakuwa wamekutapeli 25000 na kukupitisha njia mbaya ya Chunya tofauti na mipango Yako.
Latra mkoa wa Tabora wamejulishwa kuhusu huu utapeli lakini hawana msaada wowote.
Boni, Brian (Bray)na mawakala wenu hapo Mwanza acheni utapeli.
Hela yangu 25,000 naitaka - 0687144258
Nauli ya kutoka Mwanza hadi Mbeya kupitia Dodoma wanatoza 85000.Lakini wanakufaulisha njia ya Tabora Chunya ambayo nauli yake ni 60000. Kwa hiyo wanakuwa wamekutapeli 25000 na kukupitisha njia mbaya ya Chunya tofauti na mipango Yako.
Latra mkoa wa Tabora wamejulishwa kuhusu huu utapeli lakini hawana msaada wowote.
Boni, Brian (Bray)na mawakala wenu hapo Mwanza acheni utapeli.
Hela yangu 25,000 naitaka - 0687144258