Kampuni ya kuchimba mafuta inauza 'shares' haya shime wabongo

Shadow

JF-Expert Member
May 19, 2008
2,897
671
Wadau, wenye fedha mwaweza kununua hisa kwa hii kampuni ya kuchimba mafuta Tanzania. Kumbe kuna dalili njema za kuweza kuanza kuvuna mafuta?

Registered and Principal Office​
Level 7 , 283 George Street,
Sydney, NSW, 2000, Australia,
Telephone: +612 9299 2007
Facsimile: +612 9299 7300
Email: geo@bountyoil.com
Website: Oil and Gas Exploration Australia - Bounty Oil & Gas NL

Auditors​
DFK-Richard Hill Pty Ltd
Chartered Accountants
Level 11
32 Martin Place,
Sydney, NSW, 2000

Share Registry​
Security Transfer Registrars Pty Ltd
770 Canning Highway
Applecross WA 6153
Telephone: +618 9315 2333
Facsimile: +618 9315 2233
Email: registry@securitytransfer.com.au

Bankers​
Bankwest, Sydney
Investec Bank (Australia) Ltd, Sydney

Independent Consulting Petroleum Engineers​
MBA Petroleum Consultants
27 Douglas Street,
PO Box 2098, Milton 4064
Apex Energy Consultants Inc,
700, 815 8th Avenue S.W.
Calgary, Alberta, T2P 3P2
Canada​



ENQUIRIES​
Any enquiries should be directed to:​
The Company’s share registry:
Security Transfer Registrars Pty Ltd
PO Box 535
Applecross, Western Australia 6953​
Street Address:
Alexandrea House, Suite 1
770 Canning Highway
Applecross, Western Australia 6153​
Telephone (61- 9315 2333​
Facsimile (61- 9315 2233
 
Tuwe waangalifu sana na makampuni ya kitapeli, Baada ya Tanzania kuonekana kuna mafisadi wengi kama akina Chenge walioshindwa kutumia pesa za kifisadi na kwenda kuziweka visiwa vya nje zikiwa zimekaa bila matumizi, huu ndiyo mwanzo wa makampuni ya Kitapeli Kujitangaza kama yanafanya Exploration and Development ya Oil and Gas Tanzania wakati siyo kweli ili watu wanunue shares then , next step Economic Global Crisis.

Hii Kampun i inayotajwa hapo haijawahi kufanya kazi yeyote ile ya exploration wala kuwa registered kweny orodha ya makampuni yanayofanya exploration Tanzania tangu nchi hii ipate uhuru na tangu TPDC ianzishwe!!. kwa undani zaidi ingia
http://www.tpdc-tz.com/activity-FEBRUARY-2009.pdf au http://www.tpdc-tz.com/
utapata majibu. Hiyo gas discovery anayosema ameshiriki ya Kiliwani North siyo kweli, hiyo imegunduliwa na Ndovu resources akishirikiana na Key Petroleum zote za Australia wakiwa na mshiriki wao TPDC mwaka jana 2008. hiyo kampuni ni Fake .For your information itakuwa haina tofauti na Richmonduli au Dowans.
 
Lakini kwa watanzania tusivyo fikiri utakuta tayari hata mashirikka ya serikali yamenunua shares, jamani tuwe makini??

Na mtu unayetoa post humu kama hii uwe umejiridhsha kwamba untoa kitu chenye maana, au na wewe ni akina richmonduli??
 
Tuwe waangalifu sana na makampuni ya kitapeli, Baada ya Tanzania kuonekana kuna mafisadi wengi kama akina Chenge walioshindwa kutumia pesa za kifisadi na kwenda kuziweka visiwa vya nje zikiwa zimekaa bila matumizi, huu ndiyo mwanzo wa makampuni ya Kitapeli Kujitangaza kama yanafanya Exploration and Development ya Oil and Gas Tanzania wakati siyo kweli ili watu wanunue shares then , next step Economic Global Crisis.

Hii Kampun i inayotajwa hapo haijawahi kufanya kazi yeyote ile ya exploration wala kuwa registered kweny orodha ya makampuni yanayofanya exploration Tanzania tangu nchi hii ipate uhuru na tangu TPDC ianzishwe!!. kwa undani zaidi ingia
http://www.tpdc-tz.com/activity-FEBRUARY-2009.pdf au http://www.tpdc-tz.com/
utapata majibu. Hiyo gas discovery anayosema ameshiriki ya Kiliwani North siyo kweli, hiyo imegunduliwa na Ndovu resources akishirikiana na Key Petroleum zote za Australia wakiwa na mshiriki wao TPDC mwaka jana 2008. hiyo kampuni ni Fake .For your information itakuwa haina tofauti na Richmonduli au Dowans.

Hufikirii kuwa kampuni hiyo iliuziwa ugunduzi huo? hata hivyo kwa Tanzania hii ni bora kuwa na mashaka kwa kila kitu mpaka hapo utakapojitosheleza
 
Tuwe waangalifu sana na makampuni ya kitapeli, Baada ya Tanzania kuonekana kuna mafisadi wengi kama akina Chenge walioshindwa kutumia pesa za kifisadi na kwenda kuziweka visiwa vya nje zikiwa zimekaa bila matumizi, huu ndiyo mwanzo wa makampuni ya Kitapeli Kujitangaza kama yanafanya Exploration and Development ya Oil and Gas Tanzania wakati siyo kweli ili watu wanunue shares then , next step Economic Global Crisis.

Hii Kampun i inayotajwa hapo haijawahi kufanya kazi yeyote ile ya exploration wala kuwa registered kweny orodha ya makampuni yanayofanya exploration Tanzania tangu nchi hii ipate uhuru na tangu TPDC ianzishwe!!. kwa undani zaidi ingia
http://www.tpdc-tz.com/activity-FEBRUARY-2009.pdf au http://www.tpdc-tz.com/
utapata majibu. Hiyo gas discovery anayosema ameshiriki ya Kiliwani North siyo kweli, hiyo imegunduliwa na Ndovu resources akishirikiana na Key Petroleum zote za Australia wakiwa na mshiriki wao TPDC mwaka jana 2008. hiyo kampuni ni Fake .For your information itakuwa haina tofauti na Richmonduli au Dowans.
I see!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom