NGOMEKONGWE2021
JF-Expert Member
- Dec 6, 2021
- 616
- 1,253
Hii kampuni ilianza vizuri hasa safari za Dom-Dar-Dom....wakawa na huduma nzuri sana....wakapata wateja wengi ambao walihama kutoka makampuni mengine makongwe kama Shabiby, ABC etc..kila kitu kilikuwa on time...Sasa wamevimba kichwa ...Yaani hawana ratiba inayoeleweka kabisa..
Yaani siku hizi kuambiwa gari muda wa kuondoka umesogezwa mbele(gari itachelewa) au safari ya jioni haipo hivyo wenye tiketi wapande gari ya mapema zaidi (gari itawahi) ni kawaida kabisa....Siku hizi si ajabu ukakaa ukisubiri gari pale ofisini kwao Dsm au Dom mnakuwa kama vifaranga vya kuku vimeloa maji na gari haionekani, muda unakwenda ......na wafanyakazi wao wapo wapo tu hakuna anayetoa updates zozote.....hata mkiwa njiani dereva anaweza kusimama ghafla, barabarani bila kuwaeleza abiria nini kinachendelea, mnakaa nusu saa au lisaa limoja.
Kwa ufupi wamekuwa na kiburi sana sana......wiki iliyopita nikiwa Dom kwenda Dar ilkuwa hivyo hivyo kila mtu analalamika kwamba sasa amechoka na anahamia mabasi mengine ..kichekesho wakati wakurudi nikiwa pale Shekilango ofisini kwao pia abiria walikuwa wanalalamika hivyo hivyo.....yaani wapo very dis-organised....niliwahi kumuuliza mmoja wa wafanyakazi wake akaniambia wanadhani wamelogwa na Shabiby manake hata wao hawajielewi ,wanasema inaonekana amewapania sana kwani wanamuharibia biashara...sasa sijui hii imekaaje wadau....Kama kuna wahusika humu watuambie kulikoni?
Yaani siku hizi kuambiwa gari muda wa kuondoka umesogezwa mbele(gari itachelewa) au safari ya jioni haipo hivyo wenye tiketi wapande gari ya mapema zaidi (gari itawahi) ni kawaida kabisa....Siku hizi si ajabu ukakaa ukisubiri gari pale ofisini kwao Dsm au Dom mnakuwa kama vifaranga vya kuku vimeloa maji na gari haionekani, muda unakwenda ......na wafanyakazi wao wapo wapo tu hakuna anayetoa updates zozote.....hata mkiwa njiani dereva anaweza kusimama ghafla, barabarani bila kuwaeleza abiria nini kinachendelea, mnakaa nusu saa au lisaa limoja.
Kwa ufupi wamekuwa na kiburi sana sana......wiki iliyopita nikiwa Dom kwenda Dar ilkuwa hivyo hivyo kila mtu analalamika kwamba sasa amechoka na anahamia mabasi mengine ..kichekesho wakati wakurudi nikiwa pale Shekilango ofisini kwao pia abiria walikuwa wanalalamika hivyo hivyo.....yaani wapo very dis-organised....niliwahi kumuuliza mmoja wa wafanyakazi wake akaniambia wanadhani wamelogwa na Shabiby manake hata wao hawajielewi ,wanasema inaonekana amewapania sana kwani wanamuharibia biashara...sasa sijui hii imekaaje wadau....Kama kuna wahusika humu watuambie kulikoni?
