toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Kampuni ya Abood muondoeni huyu kijana kazini ana lugha chafu na za maudhi sana
Sijawahi kuona watu wa ajabu kama hii kampuni ya Abood jana tarehe 15 November kuna kaparcel kwa kwenye bahasha nilikuwa naenda kumtumia mtu kimfikie hapo Chalinze
Nikaenda abood pale Kariakoo ofisini kwao wakanambia wao mizigo ya Chalinze hawatumi hapo bali wanatuma ofisi zao za Ubungo Shekilango
Mdogo mdogo huyo nikaenda kupanda mwendokasi hadi Ubungo nikaenda kwenye ofisi zao zilizopo kwenye ile sheli ya Engen.
Kufika namkuta kijana kavaa tishert ya Yanga mweusi , na muhudumu mwingine ana muonekano kama kiarabu hivi na wafunga mizigo wengine wa pale.
Nimefika kwanza huyo kaka alovaa tishert ya Yanga akanambia niende kwanza wanapofunga mizigo nikachukue mark pen niuandike vizuri huo mzigo maana bahasha ile niliandika kwa pen ya kawaida kufika kule nikanyimwa mark pen akanambia niende kwa wa dirishani ambaye ndo huyo kaka alovaa tishert ya Yanga
Nimefika dirishani hanihudumii yupo busy anachati na simu yake baadae akaniuliza huo mzigo unaotuma Chalinze uko wapi? Nikamuonyesha ile bahasha akaniuliza thamani ya mzigo nikamuambia ni elfu 10 maana zilikuwa ni earphones tu
Akanambia kuutuma huo mzigo Chalinze ni elfu 15 nikamuuliza hapo Chalinze elfu 15 kibahasha tu chenye earphone mbona ghali sana maana huwa natuma kwa 5000
Akabadilika hapo hapo akaanza kunambia kwanza hawatumi mizigo Chalinze na akaniamrisha kwa kejeli kuwa niondoke "Sepaa" kila mtuma mizigo alokuwepo pale alinionea huruma na wakashangaa sana mmoja akaja kunambia ndo tabia za huyo kaka
Nilikuwa na hasira hadi natetemeka huko njiani nilivyopoteza muda wangu na nauli kupanda na kushuka huyo kaka aiyekuwa anahudumia Abood na tishert ya Yanga wangemuondoa maana hana adabu mshenzi yule
Sijawahi kuona watu wa ajabu kama hii kampuni ya Abood jana tarehe 15 November kuna kaparcel kwa kwenye bahasha nilikuwa naenda kumtumia mtu kimfikie hapo Chalinze
Nikaenda abood pale Kariakoo ofisini kwao wakanambia wao mizigo ya Chalinze hawatumi hapo bali wanatuma ofisi zao za Ubungo Shekilango
Mdogo mdogo huyo nikaenda kupanda mwendokasi hadi Ubungo nikaenda kwenye ofisi zao zilizopo kwenye ile sheli ya Engen.
Kufika namkuta kijana kavaa tishert ya Yanga mweusi , na muhudumu mwingine ana muonekano kama kiarabu hivi na wafunga mizigo wengine wa pale.
Nimefika kwanza huyo kaka alovaa tishert ya Yanga akanambia niende kwanza wanapofunga mizigo nikachukue mark pen niuandike vizuri huo mzigo maana bahasha ile niliandika kwa pen ya kawaida kufika kule nikanyimwa mark pen akanambia niende kwa wa dirishani ambaye ndo huyo kaka alovaa tishert ya Yanga
Nimefika dirishani hanihudumii yupo busy anachati na simu yake baadae akaniuliza huo mzigo unaotuma Chalinze uko wapi? Nikamuonyesha ile bahasha akaniuliza thamani ya mzigo nikamuambia ni elfu 10 maana zilikuwa ni earphones tu
Akanambia kuutuma huo mzigo Chalinze ni elfu 15 nikamuuliza hapo Chalinze elfu 15 kibahasha tu chenye earphone mbona ghali sana maana huwa natuma kwa 5000
Akabadilika hapo hapo akaanza kunambia kwanza hawatumi mizigo Chalinze na akaniamrisha kwa kejeli kuwa niondoke "Sepaa" kila mtuma mizigo alokuwepo pale alinionea huruma na wakashangaa sana mmoja akaja kunambia ndo tabia za huyo kaka
Nilikuwa na hasira hadi natetemeka huko njiani nilivyopoteza muda wangu na nauli kupanda na kushuka huyo kaka aiyekuwa anahudumia Abood na tishert ya Yanga wangemuondoa maana hana adabu mshenzi yule