Kazi nyingine zipo hivi.
Mfano wewe ni sales man wa building materials , inawezekana usipate hela kupitia kuuza materials au katika core business (Biashara mama) Ila unaweza kutumia hiyo biashara kupata na tenda nyingine Kama za ujenzi na hapo ndo utapata pesa.
Mfano Issa Tambuu anauza Magari , inawezekana asipate faida kubwa katika kuuza Magari Ila kupitia kuuza Magari akajenga jina then baadae akaamua kujenga Nyumba na kuuza Kama anavyofanya .
The same to you , you can't make good profit to someone else's office Ila you can create good profit kupitia hicho unachofanya .
Au mfano diamond msanii inawezekana mziki ambayo ndo core business yake isimpatie pesa nyingi Ila kupitia , Endorsement Kama za Pepsi , Air tel, Castle lite , na Wasafibet, wasafisoap na wasafi media , yawezekana huko ndo akawa anapata Sana pesa
So you need to have Entrepreneur mindset.