Kampuni nyingi wanawaunderate salespersons

Kampuni nyingi wanawaunderate salespersons

Rico redi

Senior Member
Joined
Jul 15, 2023
Posts
163
Reaction score
313
Baadhi ya makampuni yaliyopo nchini kitengo cha sales and marketing kuna namna kinachukuliwa poa kuliko vitengo vingine vyote, na kibaya zaidi unakuta salesman wana kazi kubwa kuliko vitengo vingine

Imagine upo mkoa ambao sio mwenyeji na kazi yako ni kutembea kutafuta wateja kote unakozunguka hamna hata kidogo ya usafiri unatumia gharama zako kuanzia kula,nauli na hata hela ya kuprintia fomu za mauzo, kodi.

Kibaya zaidi hamna mshahara zaidi ya commission tu ambayo unaingiziwa mwisho wa mwezi na hiyo hiyo commission ndo kodi inakatwa humo, ambapo kupata mpaka upate mteja kiasi kwamba means ya kusurvive inakua haipo

Mpaka mzazi anajiuliza kazi gani unafanya ilihali kila siku unamlilia shida

Ndugu waajiri mjitafakari ni kazi kufanya kazi ambayo hata hamna ya kuishi unakosa kabisa

ANYWAY NAOMBENI KAZI
 
Baadhi ya makampuni yaliyopo nchini kitengo cha sales and marketing kuna namna kinachukuliwa poa kuliko vitengo vingine vyote na kibaya zaidi unakuta salesman wana kazi kubwa kuliko vitengo vingine

Imagine upo mkoa ambao sio mwenyeji na kazi yako ni kutembea kutafuta wateja kote unakozunguka hamna hata kidogo ya usafiri unatumia gharama zako kuanzia kula,nauli na hata hela ya kuprintia fomu za mauzo,kodi


Kibaya zaidi hamna mshahara zaidi ya commission tu ambayo unaingiziwa mwisho wa mwezi na hiyo hiyo commission ndo kodi inakatwa humo,ambapo kupata mpaka upate mteja kiasi kwamba means ya kusurvive inakua haipo

Mpaka mzazi anajiuliza kazi gani unafanya ilihali kila siku unamlilia shida

Ndgu waajiri mjitafakari ni kazi kufanya kazi ambayo hata hamna ya kuishi unakosa kabisa

ANYWAY NAOMBENI KAZI
Because hawajui what sales is all about
 
Moja ya watu wa kuwalipa vizuri na kuhakikisha hakukimbii ni hawa watu wa mauzo.

Hasa wale ambao tayari wameshakukamatia base ya wateja.

Kampn inaweza kuyumba tu kwa kuondokewa na hawa watu. Kun baadhi wanadhani ni bidhaa zao ndio zinawafanya watambe, kumbe ni watu wanaozipeleka hizo bidhaa sokoni.
 
Moja ya watu wa kuwalipa vizuri na kuhakikisha hakukimbii ni hawa watu wa mauzo.

Hasa wale ambao tayari wameshakukamatia base ya wateja.

Kampn inaweza kuyumba tu kwa kuondokewa na hawa watu. Kun baadhi wanadhani ni bidhaa zao ndio zinawafanya watambe, kumbe ni watu wanaozipeleka hizo bidhaa sokoni.
Yes mostly watu wa mauzo ndo mzizi wa kampuni yenyewe lakini kampuni inavyowachukulia Dah kazi sana
 
advertisement,promotion,marketing and selling.Hivi ni vitu tofauti kama mazingira ya kazi ni magumu kiasi hicho ,usijipe majukumu ambayo sioo yako kama salesperson
 
Baadhi ya makampuni yaliyopo nchini kitengo cha sales and marketing kuna namna kinachukuliwa poa kuliko vitengo vingine vyote, na kibaya zaidi unakuta salesman wana kazi kubwa kuliko vitengo vingine

Imagine upo mkoa ambao sio mwenyeji na kazi yako ni kutembea kutafuta wateja kote unakozunguka hamna hata kidogo ya usafiri unatumia gharama zako kuanzia kula,nauli na hata hela ya kuprintia fomu za mauzo, kodi.

Kibaya zaidi hamna mshahara zaidi ya commission tu ambayo unaingiziwa mwisho wa mwezi na hiyo hiyo commission ndo kodi inakatwa humo, ambapo kupata mpaka upate mteja kiasi kwamba means ya kusurvive inakua haipo

Mpaka mzazi anajiuliza kazi gani unafanya ilihali kila siku unamlilia shida

Ndugu waajiri mjitafakari ni kazi kufanya kazi ambayo hata hamna ya kuishi unakosa kabisa

ANYWAY NAOMBENI KAZI
Na kama wangejua salesman ndo roho ya kampuni wasingefanya hivyo,,mi yaliwahi nikuta kampuni moja hivi,ilikuwa ina deal na uuzaji wa unga wa ngano,maeneo ya tabata enzi hizo,na hasa hawa jamaa wa asili ya asia ni taabu sana aseh!! , ngoja niishie hapo inatia machungu sana.
 
Na kama wangejua salesman ndo roho ya kampuni wasingefanya hivyo,,mi yaliwahi nikuta kampuni moja hivi,ilikuwa ina deal na uuzaji wa unga wa ngano,maeneo ya tabata enzi hizo,na hasa hawa jamaa wa asili ya asia ni taabu sana aseh!! , ngoja niishie hapo inatia machungu sana.
Khanji kapoor toa maelezo ya kina,usilete uswahili,sema kwanini mpo hivyo
 
Baadhi ya makampuni yaliyopo nchini kitengo cha sales and marketing kuna namna kinachukuliwa poa kuliko vitengo vingine vyote, na kibaya zaidi unakuta salesman wana kazi kubwa kuliko vitengo vingine

Imagine upo mkoa ambao sio mwenyeji na kazi yako ni kutembea kutafuta wateja kote unakozunguka hamna hata kidogo ya usafiri unatumia gharama zako kuanzia kula,nauli na hata hela ya kuprintia fomu za mauzo, kodi.

Kibaya zaidi hamna mshahara zaidi ya commission tu ambayo unaingiziwa mwisho wa mwezi na hiyo hiyo commission ndo kodi inakatwa humo, ambapo kupata mpaka upate mteja kiasi kwamba means ya kusurvive inakua haipo

Mpaka mzazi anajiuliza kazi gani unafanya ilihali kila siku unamlilia shida

Ndugu waajiri mjitafakari ni kazi kufanya kazi ambayo hata hamna ya kuishi unakosa kabisa

ANYWAY NAOMBENI KAZI
Kampuni za mafukara nyingi ambazo wamiliki na wao wanatafuta humo hump hela ya kula na ada. Ni shida
 
Baadhi ya makampuni yaliyopo nchini kitengo cha sales and marketing kuna namna kinachukuliwa poa kuliko vitengo vingine vyote, na kibaya zaidi unakuta salesman wana kazi kubwa kuliko vitengo vingine

Imagine upo mkoa ambao sio mwenyeji na kazi yako ni kutembea kutafuta wateja kote unakozunguka hamna hata kidogo ya usafiri unatumia gharama zako kuanzia kula,nauli na hata hela ya kuprintia fomu za mauzo, kodi.

Kibaya zaidi hamna mshahara zaidi ya commission tu ambayo unaingiziwa mwisho wa mwezi na hiyo hiyo commission ndo kodi inakatwa humo, ambapo kupata mpaka upate mteja kiasi kwamba means ya kusurvive inakua haipo

Mpaka mzazi anajiuliza kazi gani unafanya ilihali kila siku unamlilia shida

Ndugu waajiri mjitafakari ni kazi kufanya kazi ambayo hata hamna ya kuishi unakosa kabisa

ANYWAY NAOMBENI KAZI
Umeongea kwa uchungu sana na nakuelewa mno hasa kampuni za kihindi ni majanga .
 
Ordinary methods of doing research ( Qualitative and Quantitative ) .... Watu wamekuwa wakijibu wanachojisoia na kuja mdomoni Mwisho was siku mmekuwa mkipata taarifa zisizo na ukweli ndio maana nchi zilizoendelea ziliamua kuja na Neuro Marketing ( Buyology ) kwenda kumchimba binadam mbali na maongezi ya mdomo.

Kuna kampuni ziliwaruhusu watu fulani kutumia brand Yao Mana walikuwa na kazi zimenyooka ila kile wanachokipata wao ndio wanatakiwa kuwalipa kampuni na mkikosa wateja for 3 mths game over.....ungeweze kuhimili Kamanda ?
 
Baadhi ya makampuni yaliyopo nchini kitengo cha sales and marketing kuna namna kinachukuliwa poa kuliko vitengo vingine vyote, na kibaya zaidi unakuta salesman wana kazi kubwa kuliko vitengo vingine

Imagine upo mkoa ambao sio mwenyeji na kazi yako ni kutembea kutafuta wateja kote unakozunguka hamna hata kidogo ya usafiri unatumia gharama zako kuanzia kula,nauli na hata hela ya kuprintia fomu za mauzo, kodi.

Kibaya zaidi hamna mshahara zaidi ya commission tu ambayo unaingiziwa mwisho wa mwezi na hiyo hiyo commission ndo kodi inakatwa humo, ambapo kupata mpaka upate mteja kiasi kwamba means ya kusurvive inakua haipo

Mpaka mzazi anajiuliza kazi gani unafanya ilihali kila siku unamlilia shida

Ndugu waajiri mjitafakari ni kazi kufanya kazi ambayo hata hamna ya kuishi unakosa kabisa

ANYWAY NAOMBENI KAZI
Sijawahi ona swala analia kutoliwa na Simba kuwa ahurumiwe. Hii ni dunia ya one dog eats another dog.
Tunakulana sema sijui namna tunavyokulana.
 
Watu wa sales huwa hawalii njaa ndo uzuri wao,wanacheza na bei tu.
 
Watu wa sales huwa hawalii njaa ndo uzuri wao,wanacheza na bei tu.
Unacheza na bei wakati kuna control no Mteja analipia moja kwa moja na ni sheria hutakiwi kugusa hela ya Mteja na ikigundulika ni tatizo
 
Kazi nyingine zipo hivi.

Mfano wewe ni sales man wa building materials , inawezekana usipate hela kupitia kuuza materials au katika core business (Biashara mama) Ila unaweza kutumia hiyo biashara kupata na tenda nyingine Kama za ujenzi na hapo ndo utapata pesa.

Mfano Issa Tambuu anauza Magari , inawezekana asipate faida kubwa katika kuuza Magari Ila kupitia kuuza Magari akajenga jina then baadae akaamua kujenga Nyumba na kuuza Kama anavyofanya .


The same to you , you can't make good profit to someone else's office Ila you can create good profit kupitia hicho unachofanya .

Au mfano diamond msanii inawezekana mziki ambayo ndo core business yake isimpatie pesa nyingi Ila kupitia , Endorsement Kama za Pepsi , Air tel, Castle lite , na Wasafibet, wasafisoap na wasafi media , yawezekana huko ndo akawa anapata Sana pesa

So you need to have Entrepreneur mindset.
 
Back
Top Bottom