Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 426
Kampuni yetu iliyopo Dar inahitaji kuwa ISO Certified, kama kuna mdau humu anafanya kazi ya kusaidia kuandaa document tuwasiliane ili apewe kazi. Naona makampuni mengi yanayofanya kazi hii ni kutoka nchi jirani sasa, hii tenda akipata mbongo itakuwa poa zaidi. Kama yupo mtu tuwasiliae pm