chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,284
- 25,665
Inategemea na Mtaji wako ila haizidi mil 1.5. Na pili nadhani wengi wamejikita katika kufungu kampuni tu. Hiyo sio ishu kwa suala hili
Suala hili nimegundua kuna 'wageni' wengi kuhusiana na muda na masuala mazima ya kampuni. Leo wewe unahitaji kufungua kampuni mpya, lakini kuna mwingine anahitaji kampuni iliyosajiliwa zaidi ya miaka 10 iliyopita hata kama hai- operate. Ukifuatilia kiundani utaona kila mmoja lengo lake
Ok swala la muda nimelielewa.
Swali je toka 2012 tra wakasema hiyoo kampuni ilikuwa inafanya kazi bila kulipo kodi. Alienunua atajiteteaje??