Kuna mkataba wa maandishi na kuna mkataba wa maneno. Yote ni mikataba. Ili mradi unapata mshahara kama makubaliano yalivyokuwa. Ukiona mtu anag'ang'ana na karatasi jua siyo mwaminifu. Hii naiongea kutoka upande wa waajiriWakuu, hivi ni muda gani kampuni huchukua kukupatia mkataba wa maandishi ili uupitie baada ya kukubaliana kwa maneno?
Na huo mkataba wamaneno unanguvu kisheria? ili uwe na nguvu kisheria vinahitajika vielelezo vipi.Kuna mkataba wa maandishi na kuna mkataba wa maneno. Yote ni mikataba. Ili mradi unapata mshahara kama makubaliano yalivyokuwa. Ukiona mtu anag'ang'ana na karatasi jua siyo mwaminifu. Hii naiongea kutoka upande wa waajiri
Hakuna mkataba wa maneno kwenye ishu za ajiraWakuu, hivi ni muda gani kampuni huchukua kukupatia mkataba wa maandishi ili uupitie baada ya kukubaliana kwa maneno?
Hakuna mkataba wa maneno kwenye ishu za ajira kisheriaWakuu, hivi ni muda gani kampuni huchukua kukupatia mkataba wa maandishi ili uupitie baada ya kukubaliana kwa maneno?
Si kila mmoja hapa ni Mwanasheria ujueNa huo mkataba wamaneno unanguvu kisheria? ili uwe na nguvu kisheria vinahitajika vielelezo vipi.
jibu kwa vifungu/kifungu cha sheria.
Dah. Mie niliambiwa ivo ivo ndio ikawa ntolee...Wakuu naona kama mnazunguka mbuyu..baada ya kufaulu usaili nikaitwa kwenye negotiation ya salary na vitu vingne, nikaambiwa nitataharifiwa kuchukua mkataba wa maandishi, ndo mauliza kwa mwenye kujua taratibu huwa inachukua max siku ngapi?
Yaliyonitokea ndio yatakayo kutokea. Jiandae kisaikolojia.Mkuu mimi sijauliza mambo yaliyokutokea, me nataka kujua kama kuna utaratibu wa kisheria ama la.
Hakuna utaratibu wakisheria, nihuruma yao.Mkuu mimi sijauliza mambo yaliyokutokea, me nataka kujua kama kuna utaratibu wa kisheria ama la.