kajamba halafu kakausha hahaha
Ligogoma,Hahaha afu huwa hacheki anaishia kuzuga tu.Nimejikuta nacheka tu kwa kupata picha ya mtu anayejamba na kujikausha!!
Hahaha JF isingerudi tungepitwa na uhondo.kajamba halafu kakausha hahaha
UbuyuSasa hiyo kampuni ilikuwa inazalisha nini?mayai?
Wakati kampuni hii inaanzishwa miaka ya 1962, wengi wenu humu mlikua hamjazaliwaView attachment 806630
Sinota au Sino-Tanzania Joint Shipping Line.
Na bado tunaendelea kuwakaribisha. Tu wagumu kujifunza.
Nyie mlokuwa mmezaliwa ndo mnaleta data nusunusu kama mtu ambaye alikuwa hajazaliwa wakati huo.Wakati kampuni hii inaanzishwa miaka ya 1962, wengi wenu humu mlikua hamjazaliwa
Sasa hiyo kampuni ilikuwa inazalisha nini?mayai?