Kampeni za UKAWA/LOWASSA zimekwamia wapi??

Kampeni za UKAWA/LOWASSA zimekwamia wapi??

No siku ya pili Leo naona kimya bila Maelezo toka kwa wahusika ni nini kimetokea. Jana walihairisha morogoro bila kutoa sababu na Leo mpaka dakika hivi huku morogoro naona kimya. Wahusika Makene mtujuze tumeshavaa sare teyari tangu juzi.

Wanasombelea watu kwanza kutoka moshi Arusha nk
 
Wanasombelea watu kwanza kutoka moshi Arusha nk

Pesa za kusomba watu zimekwisha. Sasa wanahaha kutafuta pesa kwa nguvu ila watu wanawakwepa. Sasa wamefika mahali hawana jinsi. Labda mfadhili wao Rostam atawahurumia!?
 
uploadfromtaptalk1441808594832.jpg Wako zenji Leo kwa taarifa
 
"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Kagoda
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo porojo tuuu za kipumbavu
 
No siku ya pili Leo naona kimya bila Maelezo toka kwa wahusika ni nini kimetokea. Jana walihairisha morogoro bila kutoa sababu na Leo mpaka dakika hivi huku morogoro naona kimya. Wahusika Makene mtujuze tumeshavaa sare teyari tangu juzi.

Zanzibar Kibandamaiti
 
MAMBO 20 YANAYONIFANYA NISITHUBUTU HASILANI KUMPA KURA YANGU LOWASSA

1.Lowasa anaurafiki mkubwa na wafanyabiashara wakubwa ambo ni hatari sana kwa maendeleo
Ya watu wa chini

2.UFISADI ni mwiko kutamka mbele ya ukawa. Kumbe nazani ni kipaumbele chao.manake wataruhusu ufisadi

3.UKAWA, iko kushughulikia Katiba hivyo wako pale hawana target na dira imara (wamekurupuka)

4.lowasa kajeruiwa CCM so anachofanya ni kuikomoa CCM (ANALAZIMISHA MAJANI KUA NOTI) yuko tayari damu za watanzania zimwagike mradi Kuing'oa CCM.

5.lowasa angeingia IKULU Mawaziri wake ingekua vituko na pango zuri la walanguzi

6.ukawa naiogopa kama ukoma nkikumbuka marejui wake watatu toka CCM

7.Hana uwezo wa kusema mambo muhimu toka MOYONI kwa zaid ya dk 10 bila kudesa (KUCHUNGULIA KTK KARATASI)

8.Lowasa ni FISADI, MDINI, MNAFIKI, na anakosa sifa hata ya kuwa diwani

9.lowasa hatokua na maamuzi kama RAIS isipokua kile kitokacho mdomoni mwa MBOWE na akiwazacho MBATIA (ATAENDESHWA)

10.Lowasa anatoa ahadi za kitoto kama kufungulia wafungwa na magaidi jela, wamasai kule porini wajenge nyumba za mabati.duh...

11.MAGUFULI Hana doa, abanwi na Mfumo kama wachache wanavozani nani chapa kazi la uhakika. so kura yangu sina kinyongo kwa CCM

12.analolisema anahakikisha linatimia mapema maanake nchi itabadilika na watu watafuraia matunda ya mabadiliko

13.akishinda MAGUFULI (tingatinga) nae SAMIA SULUHU ndani. Hivyo wanawake wamepata mtetez wao ngazi ya juu zaidi. Na 50 kwa 50 atimae ioooooo....

14.Siku zote ninavyopiga kura Sipendi kuona ninaemchagua hashindi maana Najua MAGUFULI IKULU NI LAZIMA. Na ukawa mwisho Oct 24, 2015

15.Lazima tena lazima sauti ya mbowe itasikika tena katika vituo vya habari,tv, radio,magazeti na mitandaoni ikisema, ."KESHO tarehe...wana-UKAWA WOOOOTE NCHI NZIMA, TUNAFANYA MAANDAMANO YA AMANI KUDAI LOWASA KAONEWA. Kitakachofuata ni Mimi au wewe au ndugu kupoteza maisha.

16 .viongozi wengi wa ukawa ni masharobaro, Kisaikologia ogopo sana mtu ambaye hapendi nywele kichwani, kidevuni( mbatia).

17.Ukawa wanatoa majibu mepesi na membamba kujibu tuhuma za mwanamapambano mahiri Dr. W.P. SLAA. Na prof Lipumba

18.kipaumbele cha ukawa hasa DILI

19.mfanano wa wanaounga mkono kwa kiasi kikubw ni MAJERUI wa uchumi, maisha magumu, na kukatwa.

20.Wameshindwa (ukawa)kufasili vema maneno UPUMBAVU, ULOFA na kirahisi tu kutumia kama msitu, tiketi na fimbo kuelekea ikulu
 
Mkiambiwa wababaishaji mnarusha ngumi. Hamkuwa na ratiba ya kampeni?

Wewe nani mpaka utuambie?
Angalia mtu wako acha sisi tujiamrie mambo yetu kwa raha zetu.
Mnataka kutuingilia hata katika kampeni zetu sisi malofa
 
MAMBO 20 YANAYONIFANYA NISITHUBUTU HASILANI KUMPA KURA YANGU LOWASSA

1.Lowasa anaurafiki mkubwa na wafanyabiashara wakubwa ambo ni hatari sana kwa maendeleo
Ya watu wa chini

2.UFISADI ni mwiko kutamka mbele ya ukawa. Kumbe nazani ni kipaumbele chao.manake wataruhusu ufisadi

3.UKAWA, iko kushughulikia Katiba hivyo wako pale hawana target na dira imara (wamekurupuka)

4.lowasa kajeruiwa CCM so anachofanya ni kuikomoa CCM (ANALAZIMISHA MAJANI KUA NOTI) yuko tayari damu za watanzania zimwagike mradi Kuing'oa CCM.

5.lowasa angeingia IKULU Mawaziri wake ingekua vituko na pango zuri la walanguzi

6.ukawa naiogopa kama ukoma nkikumbuka marejui wake watatu toka CCM

7.Hana uwezo wa kusema mambo muhimu toka MOYONI kwa zaid ya dk 10 bila kudesa (KUCHUNGULIA KTK KARATASI)

8.Lowasa ni FISADI, MDINI, MNAFIKI, na anakosa sifa hata ya kuwa diwani

9.lowasa hatokua na maamuzi kama RAIS isipokua kile kitokacho mdomoni mwa MBOWE na akiwazacho MBATIA (ATAENDESHWA)

10.Lowasa anatoa ahadi za kitoto kama kufungulia wafungwa na magaidi jela, wamasai kule porini wajenge nyumba za mabati.duh...

11.MAGUFULI Hana doa, abanwi na Mfumo kama wachache wanavozani nani chapa kazi la uhakika. so kura yangu sina kinyongo kwa CCM

12.analolisema anahakikisha linatimia mapema maanake nchi itabadilika na watu watafuraia matunda ya mabadiliko

13.akishinda MAGUFULI (tingatinga) nae SAMIA SULUHU ndani. Hivyo wanawake wamepata mtetez wao ngazi ya juu zaidi. Na 50 kwa 50 atimae ioooooo....

14.Siku zote ninavyopiga kura Sipendi kuona ninaemchagua hashindi maana Najua MAGUFULI IKULU NI LAZIMA. Na ukawa mwisho Oct 24, 2015

15.Lazima tena lazima sauti ya mbowe itasikika tena katika vituo vya habari,tv, radio,magazeti na mitandaoni ikisema, ."KESHO tarehe...wana-UKAWA WOOOOTE NCHI NZIMA, TUNAFANYA MAANDAMANO YA AMANI KUDAI LOWASA KAONEWA. Kitakachofuata ni Mimi au wewe au ndugu kupoteza maisha.

16 .viongozi wengi wa ukawa ni masharobaro, Kisaikologia ogopo sana mtu ambaye hapendi nywele kichwani, kidevuni( mbatia).

17.Ukawa wanatoa majibu mepesi na membamba kujibu tuhuma za mwanamapambano mahiri Dr. W.P. SLAA. Na prof Lipumba

18.kipaumbele cha ukawa hasa DILI

19.mfanano wa wanaounga mkono kwa kiasi kikubw ni MAJERUI wa uchumi, maisha magumu, na kukatwa.

20.Wameshindwa (ukawa)kufasili vema maneno UPUMBAVU, ULOFA na kirahisi tu kutumia kama msitu, tiketi na fimbo kuelekea ikulu

Huyo sisi ndiyo tunaye mtaka.
#Viva ukawa.#
 
Pesa za kusomba watu zimekwisha. Sasa wanahaha kutafuta pesa kwa nguvu ila watu wanawakwepa. Sasa wamefika mahali hawana jinsi. Labda mfadhili wao Rostam atawahurumia!?

Mnaumia sana? Mtaumia sana tena sana sisi ndiyo tumeamua hivyo huyu huyu hata akiwa vipi.
 
kwel ccm mnampenda lowasa amekaa kimya mnataka kumsikia karibuni UKAWA msiogope
 
Back
Top Bottom