Kampeni za UKAWA/LOWASSA zimekwamia wapi??

Kampeni za UKAWA/LOWASSA zimekwamia wapi??

Liverpool2005

Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
43
Reaction score
39
No siku ya pili Leo naona kimya bila Maelezo toka kwa wahusika ni nini kimetokea. Jana walihairisha morogoro bila kutoa sababu na Leo mpaka dakika hivi huku morogoro naona kimya. Wahusika Makene mtujuze tumeshavaa sare teyari tangu juzi.
 
Mgonjwa kaumwa tena? ama kweli CDM chizi kalogwa tena
 
Mgombea kwa sasa anapata mapumziko kutokana na hali yake kiafya.

Hii picha anakueleza kwa nini hajatokea kwenye kampeni

[im
imagejpeg
 
Acha fitna, mbona leo yuko Kibandamaiti, Zanzibar na umeme washatuzimia
 
kwa mtiti wa lowasa mtaani ni haki kupumzika watoto wafanye mitihani kwa utulivu bila kuchanganywa na pepozzzzzzzzzzzz pawaaaaaaaaaaaa
 
No siku ya pili Leo naona kimya bila Maelezo toka kwa wahusika ni nini kimetokea. Jana walihairisha morogoro bila kutoa sababu na Leo mpaka dakika hivi huku morogoro naona kimya. Wahusika Makene mtujuze tumeshavaa sare teyari tangu juzi.

Yupo Zanzibar na Maalim seif katika uzinduzi wa Cuf/ukawa pande hizo....Tazama STAR TV sasa hivi wapo hewani mkuu.
 
Back
Top Bottom