kivava JF-Expert Member Apr 2, 2013 5,772 4,922 Oct 23, 2015 #1 Kama vile mfamaji heshi kutapatapa CCM wameamua kumtumia mama Maria Nyerere katika kampeni zake. Nadhani si sahihi,yeye ni kama mama wa taifa si vyema kumjengea uhasama na sehemu ya wa Tanzania. Wasimuharibie heshima yake.
Kama vile mfamaji heshi kutapatapa CCM wameamua kumtumia mama Maria Nyerere katika kampeni zake. Nadhani si sahihi,yeye ni kama mama wa taifa si vyema kumjengea uhasama na sehemu ya wa Tanzania. Wasimuharibie heshima yake.
G gogo la shamba JF-Expert Member Mar 1, 2013 6,670 2,165 Oct 23, 2015 #2 na yeye mwenye kakubali kuvunjiwa heshima afadhali angekaa zake kimya kama marais wa Zanzibar waliomaliza muda wao
na yeye mwenye kakubali kuvunjiwa heshima afadhali angekaa zake kimya kama marais wa Zanzibar waliomaliza muda wao