CCM wana ma strategist wa nguvu sana, wao wanashambulia ardhini ambapo ndipo watu huishi, sasa cdm mnaenda angani mnafuata ndege (wanyama) au nini?
yaani wewe una akili .... huna tofauti na wakuu wako kufikiri kimagamba yaani hio helkopta uliambiwa haitui ardhini?