Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Leo kulizuka songobingo baada ya gari la matangazo la TLP kupita mitaani ilikitangaza kuwa bwana God bless Lema amekihama chama chake cha CHADEMA na kwenda TLP ndipo bwana Lema alipotarifiwa juu ya tuhuma hizo na kuanza kulifatilia hilo gari na kulikama maeneo ya makao mpya na kuanza kutembeza mkongoto kwa walio kuwa wakitangaza kabla hawaja wafikisha polisi nilifika Polisi kwenda kujua kinacho endelea na kukuta wahusika wote wakiwa wana hojiwa\
Hivyo niliweza kuongea na mtu wa karibu wa Lema aliejitabulisha kwa jina la kwanza Juma alisema Bwana Lyimo ambaye ni mgombea Ubunge kupitia TLP anatumiwa na CCM kumchafua Bwana Lema hasa baada ya wao CCM kushindwa binu zao zote chafu ikiwemo kuchana picha za Dk Slaa, Lema na wagombea udiwani hasa kutoka Chadema na bado CHADEMA inazidi kujiongezea wapenzi hivyo inaonyesha wameamua kumtumia Lyimo maana na yeye anaonekana hana chake hapa Arusha...
Mida ya saa saba kama na nusu hivi walimaliza kuandika maelezo hivyo kesi jumatatu
Hivyo niliweza kuongea na mtu wa karibu wa Lema aliejitabulisha kwa jina la kwanza Juma alisema Bwana Lyimo ambaye ni mgombea Ubunge kupitia TLP anatumiwa na CCM kumchafua Bwana Lema hasa baada ya wao CCM kushindwa binu zao zote chafu ikiwemo kuchana picha za Dk Slaa, Lema na wagombea udiwani hasa kutoka Chadema na bado CHADEMA inazidi kujiongezea wapenzi hivyo inaonyesha wameamua kumtumia Lyimo maana na yeye anaonekana hana chake hapa Arusha...
Mida ya saa saba kama na nusu hivi walimaliza kuandika maelezo hivyo kesi jumatatu