Elections 2010 Kampeni chafu zaendelea dhidi ya CHADEMA

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
Leo kulizuka songobingo baada ya gari la matangazo la TLP kupita mitaani ilikitangaza kuwa bwana God bless Lema amekihama chama chake cha CHADEMA na kwenda TLP ndipo bwana Lema alipotarifiwa juu ya tuhuma hizo na kuanza kulifatilia hilo gari na kulikama maeneo ya makao mpya na kuanza kutembeza mkongoto kwa walio kuwa wakitangaza kabla hawaja wafikisha polisi nilifika Polisi kwenda kujua kinacho endelea na kukuta wahusika wote wakiwa wana hojiwa\

Hivyo niliweza kuongea na mtu wa karibu wa Lema aliejitabulisha kwa jina la kwanza Juma alisema Bwana Lyimo ambaye ni mgombea Ubunge kupitia TLP anatumiwa na CCM kumchafua Bwana Lema hasa baada ya wao CCM kushindwa binu zao zote chafu ikiwemo kuchana picha za Dk Slaa, Lema na wagombea udiwani hasa kutoka Chadema na bado CHADEMA inazidi kujiongezea wapenzi hivyo inaonyesha wameamua kumtumia Lyimo maana na yeye anaonekana hana chake hapa Arusha...

Mida ya saa saba kama na nusu hivi walimaliza kuandika maelezo hivyo kesi jumatatu
 
Gari ya TLP iliyokuwa ikitangaza chini ni Lema mgombea ubunge kupitia Chadema jimbo la Arusha garilatlp.jpg
 

Attachments

  • mbungewaarusha.jpg
    mbungewaarusha.jpg
    39.9 KB · Views: 122
Naaam hii ndicho kilichobakia CCM. Niliandika jana jioni kuhusu kupigwa na kukamatwa mgombea udiwani kwa tiketi ya CHADEMA Ndg Abuu Shayo. Kitendo kilichowakasirisha Wanachama wa CHADEMA kuandamana kuomba POLISI iwatendee haki! Huu ni udhaifu wa hali ya juu sana kwa chama komavu kama CCM. Huko wilaya ya Hai mambo ni yale yale. Kuteka, kupiga na kuweka ndani watu bila sababu ndicho kilichobakia.
Kwa nini tusiwaachie Watanzania waamue wanachokitaka badala ya kulazimishwa?
 
Leo kulizuka songobingo baada ya gari la matangazo la TLP kupita mitaani ilikitangaza kuwa bwana God bless Lema amekihama chama chake cha CHADEMA na kwenda TLP ndipo bwana Lema alipotarifiwa juu ya tuhuma hizo na kuanza kulifatilia hilo gari na kulikama maeneo ya makao mpya na kuanza kutembeza mkongoto kwa walio kuwa wakitangaza kabla hawaja wafikisha polisi nilifika Polisi kwenda kujua kinacho endelea na kukuta wahusika wote wakiwa wana hojiwa hivyo niliweza kuongea na mtu wa karibu wa Lema aliejitabulisha kwa jina la kwanza Juma alisema Bwana Lyimo ambaye ni mgombea Ubunge kupitia TLP anatumiwa na CCM kumchafua Bwana Lema hasa baada ya wao CCM kushindwa binu zao zote chafu ikiwemo kuchana picha za Dk Slaa, Lema na wagombea udiwani hasa kutoka Chadema na bado CHADEMA inazidi kujiongezea wapenzi hivyo inaonyesha wameamua kumtumia Lyimo maana na yeye anaonekana hana chake hapa Arusha...mida ya saa saba kama na nusu hivi walimaliza kuandika maelezo hivyo kesi jumatatu

Mimi naona vyama vyote vinachafuana lakini wengi hawajatumwa na vyama vyao bali ni wagombea katika harakati za kutafuta ushindi..
 
mbona imekaa kama habari ya kisanii hivi

Heshima kwako Malaria sugu,

Hakuna habari za namna hii hapa Arusha magari ya vyama vyote yanapita kutangaza wagombea wao watahutubu sehemu gani ya jiji la Arusha.CHADEMA watakuwa na mkutano wao Kijenge,TLP watakuwa na mkutano Krokoni eneo maharufu sana kwa kuuza mitumba.Godbless Lema anjua kutumia propaganda ili kuvuruga mkutano wa Lyimo hii si mara ya kwanza.
 
maandamano yalikuwa makali manake jamaa alikuwa na mkutano mtaani kwake na alikuwa anangojewa aje amwage sera yani ilikua kama sinema ccm kweli wameishiwa abuu alitoka na mkutano alipiga kama kawa na kulikuwa na nyomi ya kutosha jamaa hana mpinzani kata hii ni yake mpaka akatae mwenyewe. ccm wemeishiwa sera sasa hivi wanapiga na kuweka ndani kila mfuasi wa chadema sasa sijui tutawekwa wangapi
 
Huyu jamaa ni kamanda alishapigana hadi na meya hataki unafiki wa ccm yeye ni hapo kwa hapo. Aah I love this guy ni diwani wangu jamani huyu amefanya mengi tuliyokuwa hatuyajui tumeyajua na fitina zote za ccm tumezijua sasa wanataka kufanya juu chini asirudi kwenye udiwani
 
Kuna kitu MS hataki kuona. Watu wamechoka na sera mbofumbofu. CCM ikipiga kona tu wamefika mwisho.
Wameinamaaaaaaaaaaaa aaaaaah wameinuka wanaona haya haoooooooooooooooo!
 
Leo kulizuka songobingo baada ya gari la matangazo la TLP kupita mitaani ilikitangaza kuwa bwana God bless Lema amekihama chama chake cha CHADEMA na kwenda TLP ndipo bwana Lema alipotarifiwa juu ya tuhuma hizo na kuanza kulifatilia hilo gari na kulikama maeneo ya makao mpya na kuanza kutembeza mkongoto kwa walio kuwa wakitangaza kabla hawaja wafikisha polisi nilifika Polisi kwenda kujua kinacho endelea na kukuta wahusika wote wakiwa wana hojiwa hivyo niliweza kuongea na mtu wa karibu wa Lema aliejitabulisha kwa jina la kwanza Juma alisema Bwana Lyimo ambaye ni mgombea Ubunge kupitia TLP anatumiwa na CCM kumchafua Bwana Lema hasa baada ya wao CCM kushindwa binu zao zote chafu ikiwemo kuchana picha za Dk Slaa, Lema na wagombea udiwani hasa kutoka Chadema na bado CHADEMA inazidi kujiongezea wapenzi hivyo inaonyesha wameamua kumtumia Lyimo maana na yeye anaonekana hana chake hapa Arusha...mida ya saa saba kama na nusu hivi walimaliza kuandika maelezo hivyo kesi jumatatu

Heshima kwako Craswise,

Acha uzushi Godbless Lema hawezi kupokelewa TLP hata kwa dakika moja anajulikana ni mfanyabiashara mzuri ndiyo maana aliuza ubunge na diwani wa upinzani mwaka 2005.
 

Heshima kwako Malaria sugu,

Hakuna habari za namna hii hapa Arusha magari ya vyama vyote yanapita kutangaza wagombea wao watahutubu sehemu gani ya jiji la Arusha.CHADEMA watakuwa na mkutano wao Kijenge,TLP watakuwa na mkutano Krokoni eneo maharufu sana kwa kuuza mitumba.Godbless Lema anjua kutumia propaganda ili kuvuruga mkutano wa Lyimo hii si mara ya kwanza.
Mimi mwenyewe nimeshuhudi yale magari pale polisi it was a lunch time, unaonekana kuwa highly informed but nahisi hii imekupita. So for the first time kubali kuhabarishwa kwani haiwezi kukufanya uonekane uko nyuma
 

Heshima kwako Malaria sugu,

Hakuna habari za namna hii hapa Arusha magari ya vyama vyote yanapita kutangaza wagombea wao watahutubu sehemu gani ya jiji la Arusha.CHADEMA watakuwa na mkutano wao Kijenge,TLP watakuwa na mkutano Krokoni eneo maharufu sana kwa kuuza mitumba.Godbless Lema anjua kutumia propaganda ili kuvuruga mkutano wa Lyimo hii si mara ya kwanza.

Mkuu wewe uko kwenye msafara wa chama gani? mbona unataka to rely kwenye information ambazo unatoa tu wewe? kama habari hujazipata basi kubali kuhabarishwa.
 
Kwa chama kinachoongozwa na mtu kama Lyatonga unategemea nini? Yuko tayari kukaa kwenye chama kibovu hata kama hakikubaliki mahala kokote ili muradi tu awe mwenyekiti wa chama.

TLP si kwamba wanatumiwa na CCM, ni kuwa wanajipendekeza wakidhani watapewa chochote na CCM. TLP ni madalali njaa wa siasa hapa nchini na ni chama cha kishenzi kama CCM. CCM ni mshenzi mkubwa na TLP ni mshenzi mdogo.

Hawa ndio wanasababisha wananchi wadhani wapinzani ni wahuni, kumbe ni vyama kama TLP vyenye mlengo wa ki CCM ndio vimejaa uhuni.
 

Heshima kwako Malaria sugu,

Hakuna habari za namna hii hapa Arusha magari ya vyama vyote yanapita kutangaza wagombea wao watahutubu sehemu gani ya jiji la Arusha.CHADEMA watakuwa na mkutano wao Kijenge,TLP watakuwa na mkutano Krokoni eneo maharufu sana kwa kuuza mitumba.Godbless Lema anjua kutumia propaganda ili kuvuruga mkutano wa Lyimo hii si mara ya kwanza.

Kamanda kumbe upo? hakuna jipya hapa, jelous as usual.
 

Heshima kwako Craswise,

Acha uzushi Godbless Lema hawezi kupokelewa TLP hata kwa dakika moja anajulikana ni mfanyabiashara mzuri ndiyo maana aliuza ubunge na diwani wa upinzani mwaka 2005.

kamanda badilisha hii santuri yako, mbona ina scratch kibao lakini wewe unailazimisha tuuuuu!!
 
Nimeukumbuka ule wimbo wa Komba"sasa kumekucha jogoo limekwisha wika................
Mwaka huu imekula kwao CCM
 
Leo kulizuka songobingo baada ya gari la matangazo la TLP kupita mitaani ilikitangaza kuwa bwana God bless Lema amekihama chama chake cha CHADEMA na kwenda TLP ndipo bwana Lema alipotarifiwa juu ya tuhuma hizo na kuanza kulifatilia hilo gari na kulikama maeneo ya makao mpya na kuanza kutembeza mkongoto kwa walio kuwa wakitangaza kabla hawaja wafikisha polisi nilifika Polisi kwenda kujua kinacho endelea na kukuta wahusika wote wakiwa wana hojiwa hivyo niliweza kuongea na mtu wa karibu wa Lema aliejitabulisha kwa jina la kwanza Juma alisema Bwana Lyimo ambaye ni mgombea Ubunge kupitia TLP anatumiwa na CCM kumchafua Bwana Lema hasa baada ya wao CCM kushindwa binu zao zote chafu ikiwemo kuchana picha za Dk Slaa, Lema na wagombea udiwani hasa kutoka Chadema na bado CHADEMA inazidi kujiongezea wapenzi hivyo inaonyesha wameamua kumtumia Lyimo maana na yeye anaonekana hana chake hapa Arusha...mida ya saa saba kama na nusu hivi walimaliza kuandika maelezo hivyo kesi jumatatu

Mzee wa Kilimo cha Mchicha New Zealand anajaribu kila mbinu kumrudisha mahabuba mjengoni. Mwaka huu utafulia mzee.
 
Back
Top Bottom