Habari za siku nyingi wakuu,
Nilikuwa busy sana na majukumu ila sasa nimepata likizo kidogo. Nahitaji kampani ya mdada mzuri anayejiheshimu, ya kupata lunch/dinner pamoja na kuongea mambo mawili matatu ya msingi. Mie sinywi pombe wala sivuti, kama unakunywa na kuvuta naweza shindwa kukaa na wewe. Asiwe na miaka zaidi ya miongo 3. Mie nipo Dar maeneo ya Kurasini.
Nipm kama huwezi kufunguka hadharani kama mimi.
Ok si mbaya problem ni uko mbali,Kamanda Kazi, mtu kama anakuchaji hela kwa kukaa naye sio rafiki mzuri. babe S, ndio hakuna la ziada.
Labda anataka utofauti, mtu mpya mawazo mapya na kutanua social network yakehii nayo bahati, yani kampani nzuri huanza na watu wa karibu yake, ye hana watu wa karibu yake wenye interest chanya
umalaya tu hamna lolote,kama ni kampani tu kwanini useme mdada mzuri??????peleka ny**ge zako huko
Huna mke, gf Au Dada?
Kama unae mama, ni bora ukatoka nae huyo!
Au unalo la zaidi kwa dada zetu wa jf?
Habari za siku nyingi wakuu,
Nilikuwa busy sana na majukumu ila sasa nimepata likizo kidogo. Nahitaji kampani ya mdada mzuri anayejiheshimu, ya kupata lunch/dinner pamoja na kuongea mambo mawili matatu ya msingi. Mie sinywi pombe wala sivuti, kama unakunywa na kuvuta naweza shindwa kukaa na wewe. Asiwe na miaka zaidi ya miongo 3. Mie nipo Dar maeneo ya Kurasini.
Nipm kama huwezi kufunguka hadharani kama mimi.
umalaya tu hamna lolote,kama ni kampani tu kwanini useme mdada mzuri??????peleka ny**ge zako huko
Style mpya za kutongoza hizi za wasomi eti kutoka nae lunch/dinner kifuatacho Guest house
Ok si mbaya problem ni uko mbali,
Wadada kazi kwenu....bahati huwa haziji mara 3
tatizo mm komba....na ninajijua kabisa....na lazima nikishalewa nipate cha longido....ila huyu kaka nimempenda....
jimwage kwang ufaid mtoto
unapiga kitu cha longido.....?
Style mpya za kutongoza hizi za wasomi eti kutoka nae lunch/dinner kifuatacho Guest house
kwan we huna ndg had utafte dada za wa2...
tatizo mm komba....na ninajijua kabisa....na lazima nikishalewa nipate cha longido....ila huyu kaka nimempenda....
umalaya tu hamna lolote,kama ni kampani tu kwanini useme mdada mzuri??????peleka ny**ge zako huko
Umeshauriwa nini hapo?
Kwani hiyo lunch na dinner si lazima hela ikutoke au?
We mwenyewe hata hujielewi........
hii nayo bahati, yani kampani nzuri huanza na watu wa karibu yake, ye hana watu wa karibu yake wenye interest chanya